Shairi langu natunga, kuwapa pole raia,
Na nyinyi tunajiunga, sote huku tunalia,
Kukumbwa na hili janga, pole kwa zao familia,
Poleni wa Tanzania, ajali haina kinga.
Ajali haina kinga, poleni wa Tanzania,
Wamejitoa mhanga, masikini abiria,
Haraka bila kuchunga, Kivuko kukivamia,
Poleni wa...