Hivi tuwaulize jamani, kuna dini ya kweli inayotetea ulevi na ufedhuli, hakuna zaidi ya dini ya uislamu- UISLAMU UNACHUKIA MAOVU NA UNAAMRISHA MEMA TU.... sisi wanzanzibari kama jamii ya kiislamu tuna haki zaidi ya kutunza mila na silka za jamii pamoja na kuheshimu tamaduni zetu UKIWEMO UISLAMU...
Huu ndiyo uungwana, Mtu sifa yake hupewa. wacheni kudhihaki mtu anaposema kweli na kuwa na nia ya dhati ya kuendeleza taifa letu. Hongera muheshimiwa, watu makini huwa wanasoma alama za nyakati kam ulivyosema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.