Recent content by BIN ABBASS

  1. BIN ABBASS

    Katika suala zima la mahari ya mwanamke bado Dini ya Kiislamu wameendelea kuupiga mwingi

    Kwa sisi waislam na Uislam ni kwamba, Mahari ni zawadi itokayo kwa anaeowa ambayo ni makubaliano ya anaeowa na anaeolewa, kwa chochote mtakacho kubaliana. Hivyo basi kwa mujibu wa Uislam, mahari ni mali ya mwanamke na sio mtaji kwa wazazi/wazee wa mwanamke. HEKIMA YA MAHARI KUA HAFIFU:-...
  2. BIN ABBASS

    Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

    Kupitia bibilia hawezi kujibu maana sio kitabu cha Mungu na ndio maana kinapingana ktk maandiko. Mfano... MARCO 15:25, inasema Yesu kasulubiwa saa 3 wakati YOHANA 19:14, inpinga na kusema saa 6 Yesu Yuko mahakamani na Pilato bado Hajasulubiwa. Pia MARCO hio hio 15:26... Inasena Aliesulubiwa ni...
  3. BIN ABBASS

    Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

    Huyo ni Kafiri, tena Bibilia yake inamtambua kua ni Hayawani, ni Kipofu, Huota ndoto, Hupenda usingizi, tena ni Mbwa alie bubu, Hawana maarifa an wana choyo sana, Hafahamu neno la Mungu na ndio maana Hufuata maneno yake mwenyewe na sio ya Mungu. 56:09-12. ISAYA. Ushahidi wa hao jamaa kuwa...
  4. BIN ABBASS

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Una hamu ila tulia kido, ifafika tu ila kwa mwezi huu subiri upite tuangalir mwezi wa 4.
  5. BIN ABBASS

    Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

    Ha wezi kuleta mada nyengine maana hana hata uhakika na dini yake. Ukisoma Bibilia kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo, hakuna mkristo kuoa. Hivyo yeye lazima apotoshe ndoa za kiisla maana anaumia kuona waislamu wameruhusiwa kuowa.
  6. BIN ABBASS

    Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

    Na wewe piani SHETANI KWA HERUFI KUBWA. Maana ni mpotoshaji. Maana ya Kafiri kwa mujibu wa Bibilia soma 1:4. YUDA. Utajua jinsi ulivyo kafiri.
  7. BIN ABBASS

    Katika suala zima la ndoa, dini ya Kiislamu ipo vizuri

    Kwanza wewe huelwi hata dini yako, maana kama unaelewa usingeliongelea kuhusu shetani. 4:41.LUKA. Inaeleza wazi kuwa Shetani ndie aliesema kuwa Yesu ni mwana wa Mugu. Kishwa wewe unafuata hayo maneno ya Shetani na kujinadi @ mimi ni mkriso. Pia unatakiwa ujue kuwa Bibilia sio kitabu cha mungu...
  8. BIN ABBASS

    Tunaosubiri namba E tukutane hapa

    Speed iliongezeka zaidi pale mwezi wa 6, pale mama aliposema "msiwasemee wachina waache waseme wenyewe" akaruhusu waturuki na wao kupewa kipande cha SGR kujenga. Hapo wachina wakafarakana kuona wanapigwa bao. Usajili ukiwa ni No. DW, wachina wakaanza kuleta magari kwa ajili ya kufanya kazi usiku...
  9. BIN ABBASS

    Muda (Kilometre) wa kubadilisha Automatic transmission fluid (ATF)

    Hakuna ATF isiyobadilishwa ktk gari. ATF huongezwa endapo tu imepungua. ATF hubadilishwa pale endapo imechoka, na hutoa ishara kadhaa pindi ikichoka, ikiwemo kutoka kwenye wekudu na kuwa nyeusi au kijivu, pia huanza kuchelewesh gia kubadili, utajua hili kupitia RPM ya gari lako. ATF hubadilishwa...
  10. BIN ABBASS

    Kwa milioni 4 ninunue gari gani lililotumika?

    Ukikaa na kutulia, usiwe na papara/haraka, hususan kwa kipindi hiki cha kwenda mwezi wa 12-02 utapata gari nzuri isio na stress. Hata carina Ti ilio safi unaweza kuipata. Kuelekea mwanzoni mwa mwaka magari hua bei chini.
  11. BIN ABBASS

    Kwa milioni 4 ninunue gari gani lililotumika?

    Acheni mambo ya ajabu, kinachotakiwa ni ushauri wa gari itakayopatikana kwa bei hiyo, sio mambo mengine. Gari ni usafiri na sio utajiri, wabongo tulielewe hili.
  12. BIN ABBASS

    Kwa milioni 4 ninunue gari gani lililotumika?

    Acha upuuzi ww. Gari ni usafiri, uelewe hilo.
Back
Top Bottom