Kwa sisi waislam na Uislam ni kwamba, Mahari ni zawadi itokayo kwa anaeowa ambayo ni makubaliano ya anaeowa na anaeolewa, kwa chochote mtakacho kubaliana.
Hivyo basi kwa mujibu wa Uislam, mahari ni mali ya mwanamke na sio mtaji kwa wazazi/wazee wa mwanamke.
HEKIMA YA MAHARI KUA HAFIFU:-...
Kupitia bibilia hawezi kujibu maana sio kitabu cha Mungu na ndio maana kinapingana ktk maandiko. Mfano...
MARCO 15:25, inasema Yesu kasulubiwa saa 3 wakati YOHANA 19:14, inpinga na kusema saa 6 Yesu Yuko mahakamani na Pilato bado Hajasulubiwa.
Pia MARCO hio hio 15:26... Inasena Aliesulubiwa ni...
Huyo ni Kafiri, tena Bibilia yake inamtambua kua ni Hayawani, ni Kipofu, Huota ndoto, Hupenda usingizi, tena ni Mbwa alie bubu, Hawana maarifa an wana choyo sana, Hafahamu neno la Mungu na ndio maana Hufuata maneno yake mwenyewe na sio ya Mungu. 56:09-12. ISAYA.
Ushahidi wa hao jamaa kuwa...
Ha
wezi kuleta mada nyengine maana hana hata uhakika na dini yake.
Ukisoma Bibilia kuanzia Mwanzo hadi Ufunuo, hakuna mkristo kuoa. Hivyo yeye lazima apotoshe ndoa za kiisla maana anaumia kuona waislamu wameruhusiwa kuowa.
Kwanza wewe huelwi hata dini yako, maana kama unaelewa usingeliongelea kuhusu shetani.
4:41.LUKA. Inaeleza wazi kuwa Shetani ndie aliesema kuwa Yesu ni mwana wa Mugu. Kishwa wewe unafuata hayo maneno ya Shetani na kujinadi @ mimi ni mkriso.
Pia unatakiwa ujue kuwa Bibilia sio kitabu cha mungu...
Speed iliongezeka zaidi pale mwezi wa 6, pale mama aliposema "msiwasemee wachina waache waseme wenyewe" akaruhusu waturuki na wao kupewa kipande cha SGR kujenga. Hapo wachina wakafarakana kuona wanapigwa bao.
Usajili ukiwa ni No. DW, wachina wakaanza kuleta magari kwa ajili ya kufanya kazi usiku...
Hakuna ATF isiyobadilishwa ktk gari.
ATF huongezwa endapo tu imepungua.
ATF hubadilishwa pale endapo imechoka, na hutoa ishara kadhaa pindi ikichoka, ikiwemo kutoka kwenye wekudu na kuwa nyeusi au kijivu, pia huanza kuchelewesh gia kubadili, utajua hili kupitia RPM ya gari lako.
ATF hubadilishwa...
Ukikaa na kutulia, usiwe na papara/haraka, hususan kwa kipindi hiki cha kwenda mwezi wa 12-02 utapata gari nzuri isio na stress. Hata carina Ti ilio safi unaweza kuipata.
Kuelekea mwanzoni mwa mwaka magari hua bei chini.
Acheni mambo ya ajabu, kinachotakiwa ni ushauri wa gari itakayopatikana kwa bei hiyo, sio mambo mengine.
Gari ni usafiri na sio utajiri, wabongo tulielewe hili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.