Recent content by Bima jamii

  1. Bima jamii

    Sales ladies required on commision

    Beldin insurance consultants is seeking to recruit 4 sales ladies on commision basis to sell our products nationwide. the person should be smart , inteligent and outgoing. should be 18 years and above , working experiance in relevant field shall be an added advantage please send your CV to...
  2. Bima jamii

    office messenger

    hi, beldin insurance consultants tunatangaza nafasi ya ajira kwa kijana wa kike mjini dar es salaam. sifa.. awe amemaliza kidato cha nne , na analijua jiji vizuri... tuma ombi kwa leeshaa71@gmail.com
  3. Bima jamii

    Nafasi 3 za kazi ya sales kwa comission

    always remember, the world evolve around the positive thinkers
  4. Bima jamii

    Nafasi 3 za kazi ya sales kwa comission

    jamani duniani kuna watu wawili tu. wakwanza huona matatizo kwa kila anachokutana nalo, watu kama hawa huishia kulalamika, kunungunika na kati ya yote huishia kuwa wachawi, mtu wa pili kila jambo analokutana nalo huona faida hata katika shida , wao utafuta sababu hata kidogo tu nzuri kwa kila...
  5. Bima jamii

    Nafasi 3 za kazi ya sales kwa comission

    dar es salaam mkuu
  6. Bima jamii

    Nafasi 3 za kazi ya sales kwa comission

    Hi Tunatafuta vijana watatu wanaojiamini, kuuza bidhaa za bima ya afya hapa Tanzania. Tupo jengo la makumbusho complex ghorofa ya tatu. Wawe na sifa zifuatazo. - Kidato cha nne na kuendelea - Mtanashati - Ana uwezo wa kujieleza
  7. Bima jamii

    Nisaidie nikusaidie

    Ni hali ya kawaida sana wakuu,ina maana waajiri wengi ni wanaume wanatumia the law of opposite attraction
Back
Top Bottom