Recent content by billz949

  1. B

    mkopo kwa nyumba isiyo na hati

    habari wakuu,naomba msaada kwa mwenye kujua wapi naweza kupata mkopo kwa dhamana ya nyumba isiyo na hati.Kwa yoyote mwenye ufahamu tujuzane wakuu.Sijaajiriwa so plz lieleweke hilo.
  2. B

    Dell 1735 keyboard

    abari wadau, Nahitaji keyboard ya laptop dell studio 1735 ambayo ni nzima na inafanya kazi key zote.Angalia picha na kama unayo njoo 0763969066
  3. B

    INAUZWA Mashine ya kuchomelea (welding machine) inauzwa

    Inauzwa mashine ya kuchomea aina ya CEM SV-260. imetumika lakini bado iko kwenye hali nzuri sana Bei ni mil 1.5 Iko Dar njoo 0763969066 ziko storage nafasi ni finyu sikupata uwezo wa kupiga picha vizuri.
  4. B

    INAUZWA Mashine ya kusaga na kukoboa nafaka

    nauza mashine ya kusaga na kukoboa nafaka aina ya deer kutoka India. unauziwa mashine ikiwa na mota zake pamoja na control boxes na switches na waya za kutoka kwenye mota kwenda kwenye control boxes na switches mota zake ni made in german na moja ni ya hp 50 na nyingine ni hp 30 na zote ni nzima...
  5. B

    INAUZWA Mota mbili za HP 3

    kama kitu hukijui pita tu
  6. B

    INAUZWA Mota mbili za HP 3

    hapana hizo sio water pump bali ni mota(motor)
  7. B

    INAUZWA Mota mbili za HP 3

    yes zinafanya kazi kwa asilimia 100
  8. B

    INAUZWA Mota mbili za HP 3

    Habari wadau, nauza mota zangu 2 za hp 3 kila moja.Mota zote ni nzima kabisa na hazina shida yoyote.Ni za phase 3. Zote ni made in germany na zinauwezo kutumika kwenye phase 3.Bei ni laki 3 kila moja.Angalia picha.Kama unazihitaji njoo 0688901124
  9. B

    Naomba kufahamishwa wanaponunua Silver

    Anaehitaji kununua anicheki 0763969066
  10. B

    Naomba kufahamishwa wanaponunua Silver

    Sorry simu ilipasuka kioo...so ndo nimeifix
  11. B

    Elizabeth ii 1971 coin

    Wanajamvi nina coin hapa nimesikia ina thamani kubwa sana.Please yoyote anaejua tujuzane.Cheki picha kisha comment unachokijua.....ila iwe fact.
  12. B

    Naomba kufahamishwa wanaponunua Silver

    Habari wanajamvi....naomba msaada kujua wapi ninaweza nikauza silver maana nimejaribu kuzurura posta ila wote wananiambia hawanunui silver.Yoyote anaejua wapi wananunua silver naomba anisaidie. Kama yupo humu anaehitaji anicheki 0763969066
Back
Top Bottom