Mkuu …naunga mkono hoja ,mwanamke wakichaga si wakuoa mkuu na jamii kwa ujumla ,Kwao pesa mbele kama tai na ni kweli wanaua ukifanikiwa nauzoefu nao , ni wazuri wa nje lakini mkuu usije ukaweka neno ndoa kwao we piga pita ivi
Kwanza :hiyo idadi ni chache sana mkuu
2:we ni domo zege ,tongoza
3: acha nyeto
4:hawo unaowaona sio level zako ndo level zako zako
5:afu mwanaume jikubali(kuwa na self esteem)
6:weka malengo ako alafu tafuta sana hela
7:tumia condom
Mkuu nishawahi kupitia wakati kama uwo ila mzee wangu,alinikalisha nakuniambia ‘mwanangu mwanamke mzuri huwa haachwi ukiona pesa njiani watu wanakwepa jua ni pesa ya kafara “ nilimuelewa nakumtii badae nikuja pata tena mwanamke bikra mkuu. Kwaiyo tumia kichwa cha juu wewe ni mwanaume...
Sina mengi ila kikubwa ni kwamba nilioa at late 20’s mwanamke wangu nilimkuta bikra tena nilikutana naye leo kesho nikaweka geto,kuja kukuta ni sealed ila sijawahi kutoa bikra so ya kwanza ni kwa wife.lakini kikubwa ni kumtanguliza mungu kwa kila jambo maana mi kwenye mahusiano sina historia...
Mtoa mada, jaribu kutumia akili zaidi na si hisia ,mahusiano si chanzo cha ajira wala kipato ,mahusiano ni kusaidina .
Nikuulize swali na je wale ambao wenye boyfriend vilema au mahispitalini wasiwe kwenye mahusiano kisa awawezi kuwa hudumia. ?
[emoji848][emoji848][emoji848] tatizo kwangu mapenzi nimeyaweka priority ndogo sana, niko zaid kutafuta hela bcoz historia yangu, ya mapenzi ni worst kwaiyo nikukumbuka ni maumivu tu[emoji174][emoji29]! so
I don’t need love i need more money kwa sasa .!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.