watanzania na sisi hatutaki kuvishughulisha vichwa vyetu eeeenh hivi tunawezaje kufananisha vitu visivyo fanana kiuwezo? hivi ukubwa wa injini uko sawa mpaka tuseme 3.7 na 1.7 au idadi ya abiria na mizigo tuambiwe kwanza
Kama huelewi kitu ni bora kunyamaza kuliko kuchangia pumba. Hufuatilii hata nini kinaendelea nchini kwako alafu unachangia maada? Hujui kwamba Tanzania ilikopa uchina kujenga bomba la gesi trilion kadhaa kipindi cha muhongo ? Acha uzumbukuku
Ni zuzu pekee anaeweza kuamini haya hata akitenga 80% ya bajeti kwa miaka 5 hawezi. arudishe kwanza hela za samaki na alizosema mkaguzi mkuu wa serikali CAG ndo atoe ahadi mpya
Mdahalo wa Wagombea Uendeshe kwa Kiingereza tutajua hatma yetu mbeleni, Maana ndo nagundua sasa kwanini kila mara wakandarasi wamekuwa wakilipwa penalt na fine mbalimbali kwenye mikataba ya kandarasi mbalimbali chini ya magufuli
Najiuliza dr anaposema jangwani watu walisombwa na maroli hivi alifikiri kwanza kabla ya kuropoka? ni malori mangapi yalisomba wake watu na mtaani yasionekane yakipita ?
Sitta nae anajiita msafi kumnyooshea kidole lowasa of all the people na wewe sitta ?
Unakumbuka ufisadi wako ndani ya bunge na ukarabati wa nyumba ya speaker na ukakataa kutoka mle? Unakumbu kile choo chako kiligharimu shilingi ngapi ? Ni sawa na madawati mangapi ? Unakumbuka yule mwimbaji mke...
NAOMBA KUJIBIWA MAMBO MATATU TU.
1. KIPINDUPINDU KIMEWASHISHA MIAKA 50 YA UHURU NDANI YA MAKAO MAKUU YA NCHA BADO MNATAKA TUWAAMNI BADO KUWAPA NCHI?
2. MMESHINDWA HATA KUWAJALI SEKTA NDO YA ELIMU MIAKA YOTE 50 NA SASA WANAGOMA KWANINI MMESHINDWA KIPINDI MNATAKA TUWAAMINI KATIKA KIPINDI KIJACHO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.