Recent content by BILLEX

  1. BILLEX

    Mjadala wa Mipango ya Maendeleo kwa Jimbo la Kigoma Mjini

    Hongereni sana ndugu wiston Mogha.. Kwa mipango mikakati imara na yenye kutoa taswira njema zaidi juu ya kesho kwa wakazi wa kigoma kupitia good implementation mechanism..
  2. BILLEX

    Magufuli anaiga kwenye ilani ya CHADEMA

    His excellence Magufuli atazidi kuwanyamazisha kwa vitendo
  3. BILLEX

    Magufuli anaiga kwenye ilani ya CHADEMA

    Wanachadema huwa hamkosi maneno...
  4. BILLEX

    Nani anafaa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania?

    Wote wanafaaa...Ila Mh Dr Emmanuel Nchimbi anafaa zaidi kuwa spika wa Jamhuri ya Mungano wa Tanzania...
  5. BILLEX

    Kwanini wapinzani wanaisaidia CCM kupata mgombea Urais?

    Kilichopo sasa ni CCM na matawi yake..upinzani wa kweli bado haujazaliwa,wanaojiita wapinzani ni kutokana na kutafuta fursa na sio dhamira ya kweli ya kuwa tumikia waTanzania,na ndio maana wanaojiita wapinzani wametokana na CCM, "Rejected"
  6. BILLEX

    Kati ya watangaza nia wote, yupi umeona anafaa?

    Mh:Mwigulu Lameck Nchemba ndiye anatosha kabisa kuliongoza Taifa la Tanzania.
  7. BILLEX

    Zitto kuaga wabunge wenzake leo - Machi 19, 2015

    Wewe mtu acha kukurupuka ..una uhakika kuwa nafasi hiyo anapewa kujitetea..??usiwalishe watu matango poli... Bila shaka psychological point of view we nimiongoni mwa waathirika na una mgogoro wa nafsi juu ya hili..pole sana
  8. BILLEX

    CHADEMA Kigoma wampania Zitto

    Acha kuota..ndio nyie mkiingia Ikulu mtaigeuza nchi kuwa Ghetto.
  9. BILLEX

    CHADEMA Kigoma wampania Zitto

    Mh:Zito ni kisiki cha mpingo...wananchi wa leo kipaumbele chao ni uwezo na utashi wa mtu na sio chama tena,kwani hali halisi ya figisu figisu kama TFF...imekuwa ikionekana ndani ya wanaojiita eti wapinzani...chakushangaza ndani mwao ni mwiko!!! Hapa wala hatuitaji kupiga lamli ili kufaham...
  10. BILLEX

    CHADEMA Kigoma wampania Zitto

    bila shaka mihemko imekutawala ndio maana huna hoja ya msingi zaidi ya kutapa tapa tuu...
  11. BILLEX

    Rais Kikwete awashukia kama mwewe Wakuu wa Wilaya wapya

    Mh: Raisi yupo sahihi kabisa..
  12. BILLEX

    Rais Kikwete awashukia kama mwewe Wakuu wa Wilaya wapya

    Dream while your a wake
  13. BILLEX

    Makonda aagiza Hospitali za Kinondoni ziwe na dawati la PF3

    nawewe tukuite nani..unayemsifia tahira?? Zezeta au....
  14. BILLEX

    Makonda aagiza Hospitali za Kinondoni ziwe na dawati la PF3

    kuna tatizo kwani ?????
  15. BILLEX

    Makonda aagiza Hospitali za Kinondoni ziwe na dawati la PF3

    nani..anafaa..?? Au wewe... Hawezi kukubalika kwa kila mtu yeye sio pesa..na hawezi kuchukiwa na kila mtu yeye sio kimyesi...
Back
Top Bottom