Unaonekana jeuri na mjuaji,rudia tena et wanao wanajuaje? Eti una uhakika wa kula na kunywa ad kufa,bro wewe ni mwanaume au mvulana? .Tuliona wengi waliokua na uwezo wa kuenda kulala dubai na kurudi kazini dar asubuhi ,saivj wakowapi? .kama hujipendi ,dhubutu kuvuruga familia ya huyo buana uone...
Uloyasema yote ni kweli.binafsi nilihangaika na pombe sana nkatumia madawa za kienyeji za kuacha pombe zenye garama lakini sikufanikiwa.kuna siku nimetoka dar ad karatu kwa mganga lakini bado sikufanikiwa.nilibakiwa na wazo moja tu KUJINYONGA ,Nilipokua nasubiri siku nijinyonge nlikutana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.