Hyo nchi mbona ilishakufa.na mwenzie Tanganyika.
Akazaliwa TANZANIA.
watanzania tujifunze kuisoma historia yetu.
Mbona unalazimisha wenzako kufikiri kama wewe
Huyu RC ana nia mbaya na Tanzania hivi siku ikifika tukaanza kuumizana wenyewe kwa wenyewe naye atakuwa anastahili kwenda kwenye mkono wa Sheria akajibu Dhambi hii
JPM amemtumbua Waziri wake kutokana na dhamana aliyompa hivyo hawezi tumbua walevi wanaoingia Bungeni kama Wabunge tu kwani hao watakuja kuhukumiwa na wapiga kura
Naamini kabisa maisha ya shetani ndio matamu kuliko malaika kwasababu malaika maisha yake lazima yawe ya utakatifu hayana chembe yoyote ya dhuluma na chochote kile kinachoendana na uchafu.
Shetani maisha yake ndio yenye raha sana maana yanakuwa na kila aina ya uchafu utamkuta shetani amejaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.