Recent content by Bilikwija

  1. B

    ACT-Tanzania ni chama cha upinzani kwa chama tawala, au chama cha upinzani kwa vyama pinzani?

    hakuna kitu kama hicho act wazalendo imeanzishwa kama vilivyoanzishwa vyama vingine hapa tusianze kuomba kura za uhuruma tuweke hoja mbele wananchi watupime kwa hoja zetu waone zipi zinafaa watahamua wenyewe tuache uoga na kujishuku mlitegemea mfukuze watu waende wapi wakati nao ni wanasiasa na...
  2. B

    Picha: Mkutano wa ACT-Wazalendo Simiyu

    Yani kwa mawazo yako ulitaka chama ambacho hata mwaka akijafikisha kiwe na mvuto zaidi ya hapo yani kiweje au ulitaka mpaka sasa watu wote wawe wamejiunga act tujaribu kutumia akili sana kufikilia
  3. B

    Vincent Nyerere avunja ukimya

    wakati mwingine unapokuwa kiongozi wa wananchi lazima uwe mkweli tusiwe na propeganda wakati wote hii skendo ni kweli maagizo yalitolewa kilichosadia ule mjini ulibarikiwa kuwa na watu wenye kujitambua hawafati maagizo ya mtu walisema ile ni nyumba ya wtz anaruhusiwa kuingia kila mtu wakasema...
Back
Top Bottom