Recent content by Bilamungu

  1. Bilamungu

    Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    Mwanza 4G inakuaje mbona chali Vodacom watu wangu wa nguvu mnaniangusha sana Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Bilamungu

    Infinix phones: Mnasemaje kuhusu hizi simu wataalam?

    Simu yangu (Micromax) sihitaji usumbufu
  3. Bilamungu

    Zijue taratibu za kufuata ili kufungiwa umeme na TANESCO

    Tupate namba za waziri husika nahisi ndo atatatua kero zetu ila si hawa walagai wakubwa kwa wateja wao. Mpaka sasa tangu nimelipia nguzo hawataki kuniunganishia umeme. Naolewao nikimtambua muhusika mkuu anaeweza kuwatumbua ntamueleza bayana. Yaani nguzo zinapitishwa mbeleyangu kwenda kwa jirani...
  4. Bilamungu

    Kifo cha demokrasia nchini ni msiba kwetu sote

    Ushauri wangu kwa vyama pinzani nikwamba Yafanyike mabadiliko ya kiutawala ilidamu mpya zilete mabadiliko katika Sera za vya husika japokuwa ni ngumu kupenya kutokana na kutokuwa na nguvu ya kidola ila itapungua maswali mengi hususani kwa wananchi kutokana na sura zilezile kuonekana katika...
  5. Bilamungu

    Rais Magufuli: Njooni wote wenye mizigo nami nitawapumzisha mizigo yenu; CCM ya sasa imeshajisahihisha

    Pasipo na Shaka naunga mkono hoja kwa Ndg Yeriko Nyerere yakua baadhi yao ni halingumu ya kimaisha inayo wakabili pia shauku ya kuwa viongozi. Kwani Dr John raisi wa nchi yetu tukufu hapendi kiongozi kuwa kichwa Cha mwendawazimu katika utendaji wao hivyo serikali inajitahidi kushawishi baadhi ya...
  6. Bilamungu

    Ikulu, Dar: Rais Magufuli afanya Uteuzi wa Mkuu wa Wilaya, ateua Wakurugenzi na kuhamisha wengine

    Nawaona Wahadhuri wangu MNMA wakila shavu DEO-nyan'gwale, DEO-misungwi napia DEO-ukerewe Pongezi kwao ziwa endee kwa kifupi wako poa katika maswala ya community fairness coz nimiongoni mwa wakufunzi walio pendwa zaidi na wanazuoni kutokana na weledi wao katika kutengeneza kizazi kipya chenye...
  7. Bilamungu

    TANESCO Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Msaada was JF nitakiribani miezi sita sasa tangu nimelipia pesa za nguzo. Nikifuatilia ofisi husika hapa (w) naambiwa nguzo hazijaletwa ilehali naziona zinapita kwenda vijiji jirani. Je nifuate utaratibu gani au nifanye mawasiliano na nani ili huduma hi niipate mapema. Naomba kuwasilisha....
  8. Bilamungu

    Fundi Computer

    Ni kariakoo Bosi au Posta
  9. Bilamungu

    Fundi Computer

    Nipo uhuru. Jamaa anapatikana mjengoni au round about namba hiyo kapokea raia mwingine
  10. Bilamungu

    Fundi Computer

    No sio mini Acer E5-511-POGC
  11. Bilamungu

    Fundi Computer

    Round about ipi mkuu
  12. Bilamungu

    Fundi Computer

    Nitumie contact yake mkuu
  13. Bilamungu

    Fundi Computer

    Hey wakuu. Ukiondoa mafundi was Machinga complex kwa Computer, pande gani hapa Dsm naweza pata maintainers wazuri coz Ghorofani pale wamefeli. Acer laptop, tatizo black screen, moto moto inakata ukiwasha
  14. Bilamungu

    Uzi maalumu kwa manguli wote wa kutengeneza simu

    Model- Coolpad X7-100 CPU-MT6595 1.7GHz RAM 2GB Android version 4.4.2 Kernel version 3.10.35 mine@ubuntu#1 2015 Build number 4.4.153.00.p1.150818.x7_100
Back
Top Bottom