Mohamedi Mtoi
"All those that fight when oppressed incur no guilty, but Allah shall punish the oppressor. Come the day "
Holy Quran Sura 42, Verse 41
Mohamedi Mtoi haya maneno unayafikisha pale ufipa au umeweka kama show tu?
Unajua kuna watu wanajifanya wanajua kutukana sana na mimi sio kwamba nashindwa kutukana ila imani yangu hainiruhusu.
Kuna wakati nashindwa kuchangia huku JF kutokana na matusi yanayotolewa na wajinga wachache, labda upande wenu mnaruhusiwa kutukana Lakini sisi tumeambiwa tuwaite tujadiliane...
Ntuzu ule utaratibu waliotumia watu wa Libya wa kumng'oa Gaddafi sio sahih kabisa hata kama Gaddafi alikuwa na makosa.
Lakini yanayowatokea sasa hivi watamkumbuka mimi naamini nchi za magharibi wakiongozwa na Marekani walishiriki katika hilo na nchi nyingine zote ambazo kumefanyika maandamano...
We kenge unajua wanayoyafanya antibalaka unakumbuka yaliyotokea Rwanda unajua yaliyotokea hapa Tanzania kule Arumeru kipindi watu wanagombea dayosisi, watu walikata mpaka migomba na ng'ombe waliuwawa sijui kosa lao ni nini.
Kule Ireland nako umesahau?
Ntuzu haya maneno ungeanza kumwambia huyo Nyakageni yeye ndiye anapenda kuutukana uislamu... Sisi waislamu haturuhusiwi kujadiliana kwenye mijadala yenye matusi....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.