wewe ndio urudi Class ukasome upya ili ujue tofauti ya Treasury bills rates na Bank rates, hapo Bank kuu imediscourage biashara za mabank kununua hizo hati fungani maana zina faida ndogo sana
Lakini mbona alisema watu wazaliane tu, sasa mnalalamikia tu, kumbe mnajua ni mzigo kulea? Lakini pia suluhu sio hiyo, utazuia michango na watoto watapata elimu mbovu isiyofaa na hilo litakuwa tatizo kubwa zaidi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.