Mimi niliacha kazi Serikalini, naona nafasi za kazi kwenye taasisi za Serikali ila nasikia kuna baadhi ya taasisi naweza kupokelewa na nyingine sitopokelewa.
Taarifa ninayoomba ni kufahamu taasisi gani naweza pokelewa.
Msaada please!
ndugu wanajamvi, eneo zuri ekari nne na robo nyuma ya chuo cha mipango Dodoma linauzwa tsh 200,000,000 maongezi yanaruhusiwa. wasiliana na dalali no 0714355068
BRELA ndie wakala wa kusajili kampuni Tanzania. unapaswa kuchagua jina la kampuni kwanza. wao ukiwapa pendekezo la jina, wataangalia kama hakuna kampuni inayotumia, na kama hakuna watakuruhusu utumie. utapaswa kuandaa nyaraka mbili ambazo ni memorandum of understanding na article of...
mabadiliko yeyote ya kodi yanapitishwa na bunge, kwa hiyo ni vyema ukapitia mabadiliko yaliyofanywa kwa ajili ya mwaka huu wa fedha unaoisha, hakuna jipya, ni utekelezaji. inawezekana nguvu ya ufuatiliaji imeongezeka na aina ya ufanyaji tathmini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.