Kwani chupi zimeanza kuingia lini mrembo ? Au mabibi wa mabibi zetu wa mabibi zetu walikuwa wana vaa chupi ? Atakuwa ana namna anafanya inauo kidhi hiyo ada yake.
Sasa bibie mwanaume atakupendaje bila kuvutiwa na kitu ulicho nacho katika maumbile yako ? Yaani sisi huwa tunapenda pale ambapo tumevutiwa na kitu aidha mwendo, sura, umbo yaani nyama nyama,nasaba, tabia.
Habari waungwana. Kwanza kabisa tuvumiliane. Leo nina swali, hivi unaweza kumuacha mtu unaye mpenda kwa dhati kwa kushauriwa na mtu au watu ? Hii hasa nauliza jinsia ya kike.
Karibuni aisee, tupeane muongozo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.