Recent content by BigBros

  1. B

    Pendekeza tozo nyingine Serikali ya Samia iichukue

    Wewe ndugu bado hujaelewa. Hao Kinjakitile walipata muda wao mrefu tu wa uongozi. Nini walichokifanya??? Mtanzania ni masikini tokea enzi za uhuru 1961 hadi leo. Licha ya kudumu kwenye uongozi na siasa zaidi ya karne 2, Wali ingia madarakani wakati mtanzania ni masikini na waliondoka madarakani...
  2. B

    Pendekeza tozo nyingine Serikali ya Samia iichukue

    Sasa amuweke nani??? Huo ni mfano wa ndoo iliyooza na kutu, hata ukiichomelea inatoboka kwengine. Viongozi wetu asilimia kubwa hafai kabisa na wala hawafai kuwa viongozi. Hawana vigezo, upeo, elimu wala hekima ya kuongoza. Lakini kwa kuwa ni wanachama wa Chama husika inabidi wapeane madaraka tu...
  3. B

    Pendekeza tozo nyingine Serikali ya Samia iichukue

    Kweli kabisa. Nchi hii tuna Almasi, Dhahabu, madini aina zote, Makaa ya mawe, Copper, Uranium, na mengine chungu nzima. Tumezungukwa na Maziwa makubwa ya Africa, Tuna Mito ya kutosha, ardhi yenye rutuba kubwa, vivutio vya utalii chungu nzima na vyenye kuongoza ulimweguni. Tuna Bandari zaidi ya...
  4. B

    Pendekeza tozo nyingine Serikali ya Samia iichukue

    Si kweli. Maendeleo hayaletwi na kodi. Maendeleo yanaletwa na matumizi mazuri ya kodi.
  5. B

    Pendekeza tozo nyingine Serikali ya Samia iichukue

    Maneno yako sio kweli. Dubai ni mfano mmoja mzuri. Hawana Mali ghafi yoyote, hawana hata mafuta, hawana utalii, hawana chochote zaidi ya viongozi bora. Miaka 50 iliyopita ilkuwa ni jangwa tupu la vumbi na mawe. Hawakuwa na tozo wala kodi ya aina yoyote kwa miaka 50 na zaidi. Leo itazame hatua...
  6. B

    Mafanikio ya Utawala wa Jakaya Kikwete ndani ya Miaka 10

    JK hakuwa Rais Muadilifu. Watoto zake walipora mali za watu kwa ticket ya Baba yao na pia kujibinafsia mali za Serikali kama UDA. Tender zote kubwa kubwa Rizwan kuna mkono wake. Wizi nje nje. Kifupi kaharibu. Hayo yote tumeyaona, hatujaahadithiwa. Utawala mbovu kabisa. Tanzaniq bado hatujapata...
  7. B

    Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli

    Huko Hai ni mbali. Hapa hapa Dar, mtaa walindi na Livingstone(gerezani), kampuni ya usafirishaji ya Gidion inaleta magari makubwa ya tani 20 kuja kupakia mizigo katika ardhi aliyokodisha ambayo hati yake sio commercial. Hiyo barabara ya Lindi imetengenezwa lami sio zaidi ya miaka miwili...
  8. B

    Hivi Tanzania tunaweza kudai kuwa ni Taifa Huru?

    Huku jibu hoja. Umezungukazunguka tu. Kuwa mkweli kwenye kutoa maoni na usitetee chama kwa kuwa ww ni mwanachama wa chama fulani. Hivi hayo unayoyazungumza uko ndani ya nchi au nje ya nchi?? Hivi hujui yaliyotokea kabla na baada ya uchaguzi? Hivi hujui kuwa watu wamehujumiwa kwa kuwa wana...
  9. B

    Hivi Tanzania tunaweza kudai kuwa ni Taifa Huru?

    Hiyo ni dalili za mtu asiyekuwa huru. Unaogopa kutoa maoni yako. Usijali mkuu, hapa unaweza kutoa maoni yako, hakuna kitakacho kutokea.
  10. B

    Hivi Tanzania tunaweza kudai kuwa ni Taifa Huru?

    Hivi sasa mtanzania unaweza kujihesabu kuwa wewe ni mwanachi huru? Labda tutazame tafsiri ya HURU. Kuwa huru maana yake ni kuweza kuongea maoni yako bila ya kuwa na wasiwasi na utawala au watu fulani kukuchukulia hatua. Yaani uwe huru kuikosoa Serikali kwa mujibu wa katiba ya nchi. Uwe huru...
  11. B

    Prof. Kabudi aieleza Jumuiya ya Kimataifa kuwa Tanzania haijawahi kushindwa vita ya aina yoyote

    Siku zote kabla hujafanya jambo au hujazungumza kitu lazima utazame mwisho wake ni nini. Hasa kwa viongozi wetu, lazima wazingatie maneno yao kwani wanaweza kuathiri taifa zima. Ukiwa kiongozi ukizungumza neno manake taifa limeongea. Sasa hizi kauli ni za kujenga taifa hili au za kubomoa...
  12. B

    Kuna siri gani kwa wahindi

    Watu wanatokea nchi tofauti na tabia zao zinakuwa tofauti na zetu kutoka na mazingira waliotokea. Mfano mzuri wa karibu ni Kenya. Wakenya sio watu wa msaada ingawaje ni majirani zetu. Hii ni kutokana na mfumo wa maisha wa nchi yao. Wamejengwa katika system ya kujitegemea kwa asilimia 100, hakuna...
  13. B

    IGP Sirro: Gari lililomteka Mo Dewji ni la nchi jirani. Kwa sasa hatuhitaji msaada wa vyombo vya uchunguzi kutoka nje. Tuviamini vyombo vyetu

    None sense kabisa. Kuna maswali ya kujiuliza mengi tu kutoka hiyo taarifa ya Sirro. 1. Ni kwanini watoe namba ya gari leo wakati imeshapita siku 8? Namba ya gari ilitakiwa itoke masaa machache tu baada ya tukio ili watu wakiiona watoe taarifa. Hii leo hao jamaa si watakuwa wamefika hadi...
  14. B

    Kangi Lugola: Ni marufuku kuanzisha mijadala juu ya kutekwa kwa Billionea Mo Dewji

    Haya ndiyo matokeo ya kuteuliwa watu kuwa viongozi wa idara bila ya kuzingatia elimu zao na vigezo maalum vya kumfanya astahiki kuwa kiongozi wa idara hiyo. Tunaongozwa na viongozi wasiokuwa na hekima na busara za uongozi. Ndiyo maana unasikia kila leo kiongozi mmoja anaripuka kuongea upuuzi tu...
  15. B

    Haji Manara akamatwa, ahojiwa tukio la kutekwa Mo Dewji

    Hata kama kadanganya kuwa yeye ni msemaji wa familia bado haimfanyi kuwa ni suspect. Polisi wafanye kazi yao na sio kukamata watu hovyo hovyo tu.
Back
Top Bottom