Recent content by Big Thinking

  1. Big Thinking

    Naomba kujuzwa wastani wa kodi ya pango Arusha mjini

    Mkuu. Mi nimekuja chuga na kibegi changu cha nguo tu. Sa hv nina duka mjini kati, hao wahindi na waarabu ni watu wa kawaida kama ww. Ukiingia kichwa kichwa utapigwa bei za ajabu. Akili kichwani. Acha uoga
  2. Big Thinking

    Naomba kujuzwa wastani wa kodi ya pango Arusha mjini

    Eeh Huyu nae, Nimdanganye ili iweje[emoji134]
  3. Big Thinking

    Natafuta Mwalimu wa kumfundisha Mwanangu anayetarajia kuingia darasa la tano mwakani

    Jamaa anataka amwonyeshe umahiri wa lugha boss. Kumbe ndio anajiharibia... Nimecheka sana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  4. Big Thinking

    Natafuta pikipiki boxer namba C ya sh 1.3M

    Ipo boss. Naona kigezo cha mkoa kimenitoa njiani[emoji134]
  5. Big Thinking

    Natafuta nyumba ya kununua Arusha Mjini

    Nyumba zipo boss. Unaitaji ambayo ina chezea bei gani???
  6. Big Thinking

    Jinsi nilivyonyanyuka tena baada ya kuanguka kimaisha

    [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  7. Big Thinking

    Naomba kujuzwa wastani wa kodi ya pango Arusha mjini

    Inategemea na eneo, Kuanzia laki mbili uhakika zaidi kupata mkuu
  8. Big Thinking

    Uzi kwa ajili ya kupeana michongo

    Nipo Arusha boss. Namba yangu 0679974497
  9. Big Thinking

    Natafuta Mwalimu wa kumfundisha Mwanangu anayetarajia kuingia darasa la tano mwakani

    Maelezo mazuri na yanajitoshereza.... Wadau changamkieni fursa.. kazi iendelee [emoji123]
  10. Big Thinking

    Natafuta kazi ya ualimu kwenye shule binafsi

    Hahaahaaaa..Mambo mengi mkuu.. Kilimanjaro, Arusha na Manyara
  11. Big Thinking

    Natafuta kazi ya ualimu kwenye shule binafsi

    Wakuu, naomba mnisaidie atakaesikia kazi ya ualimu kwenye shule za sekondari mwalimu anaitajika. Naomba anisaidie. Nafundisha masomo ya biashara. Book keeping na commerce. Sana mikoa ya kaskazini. Moshi, Arusha na Babati
  12. Big Thinking

    Hatimae niko kazini! Shukrani kwa wote mliohusika mpaka mimi kupata kazi

    Hongera sana but usisahau kuwasaidia na wengine
Back
Top Bottom