Sasa kama anaungwa mkono na ukawa huoni ni ushindi kwa Lowassa? Katika siasa kikubwa ni kukubalika hayo mengine ni porojo na umbea....lowasa for presidency
Wakuu habari zenu.
-Sina haja ya kuwalazimisha kuamini kuwa Lowassa ndiye rais wa awamu ya tano.
-Sina haja pia ya kuwaeleza ufanisi na uchapakazi wa Edward Lowassa katika kuutumikia umma.
- Vile vile sina haja kuwaelezea upendo wa dhati wa Edward Lowassa kwa watanzania na Uzalendo uliotukuka...
Huu sisi ndio tunaita ulimbukeni....kila mtu anadress code yake sasa kwa vile wewe ni wa sitimbi umewehuka na cheni na pete na hereni....Kiba ni matured alishapita kote hukoo he's a legend and smart...By the way unamjua Pharrel Williams? Yupo simple kiuvaaji na ni big star duniani..unalingine???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.