Hii kitu ni ajabu lakini si ajabu.
Kwanza mnatakiwa kujua kwamba SUMA JKT imepewa dhamana ya kusimamia issues zote za vibarua ama kazi za muda zinazofanywa Bandarini na siyo TPA yenyewe na hata malipo ya vibarua hao yanapitia SUMA JKT kila siku baada ya masaa ya kazi.
Kazi hizo za muda ni kama...
Ila ni balaa na kikokotoo hujakisema.
Kuna watu wamefanya kazi miaka 30+ na kustaafu kisha pensheni million 12 hadi 15! Hii ni balaa hasa kwa askari hao na
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.