Jamani wana jf kwanza habarini.
Naombeni msaada wenu kwa mwenye uzoefu au ufahamu wa hii kitu. Mimi nimenunua subwoofer aina sea piano 8800 lakini kila nikajaiwasha ili nisikilize mziki either kwa aux. Fm hata bluetooth huwa inapiga kidogo nakukata mziki ikiwa bado imewaka ina display neno...
Wakubwa naomba kuwasilisha hii inisaidie mimi na wadau wengine wanaopenda kujua juu ya habari ya Scholarship haswa zinazotolewa nje ya nchi yetu.
1. Vigezo vyake vimekaaje?
2. Jinsi ya kuapply
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.