Recent content by BIG ELEPHANT

  1. BIG ELEPHANT

    Kwa lipi Lowassa apewe nchi?

    Du kumekucha, tusibirie wengine tuone kama wasafi au LA!!!!!!!!
  2. BIG ELEPHANT

    Madai ya Nyerere Kumkataa Lowassa, ukweli na ushahidi huu hapa

    No research no right to speak, Occampo four kafanya tafiti we ni nani? Ndo maana mm siwezi jumping a kwa kuwa yy kanukuu magazeti, tuache unafiki na emotion.
  3. BIG ELEPHANT

    Hili limeshakuwa tatizo: Dola sasa ni zaidi ya TZS 2,350/= Kikwete, Ndulu, Wizara wapo kimya!

    Hii ni ukosefu Wa maadili ya kazi na uwajibikaji, wakati tunajadili wakiosababisha had I tumefikia hapa wanatakiwa KuvuA nyazifa zao. Hays ni matunda ya kuwalea mafisadi.
  4. BIG ELEPHANT

    Itanichekesha sana kama Boko haram watapoa katika utawala wa Buhari

    Du, kweli siasa ni fitina kama wewe sio MTU Wa fitina lazima utaangushwa tuu, Hakuna namna.
  5. BIG ELEPHANT

    Kafulila: CHADEMA hawana lolote, Dola iwashughulikie, Kikwete usiwape kichwa!

    If ni home of great thinkers. Full stop wanaokurupuka na kushambikia ujinga wanajijua.
  6. BIG ELEPHANT

    Zitto: Nashangazwa na Msimamo wa Mbowe Kuhusu UKAWA

    Zzk anafikri Kuwa ana akili sana kupita Wtz wrote? Atakula jeuri yake, kwa kuwa usiliti neo dhambi kuu inayomtesa.
  7. BIG ELEPHANT

    Zitto: Nashangazwa na Msimamo wa Mbowe Kuhusu UKAWA

    Kwani zzk ni Mungu ktk taiga hili? Tamaa za Pweza, neo maana pweza ana mikono nane kula linalokuja mbele zake anataka kushika.
  8. BIG ELEPHANT

    Mbowe asema hawamtaki Zitto Kabwe kwenye UKAWA

    Naona kumepambazuka mpaka ifike jioni majibu yatakuw yamepatikana.
Back
Top Bottom