wanajaza watu kumbe wa kusomba toka nje ya jiji wakati UKAWA wanauwezo wa kuujaza uwanja wajangwani bila mtu kupewa nauli wala usafili.CCM kama mnataka kupima kibali mlicho nacho kwa wananchi acheni waje wenyewe kwa usafili wao na hakuna haja ya kuwapa posho kwan kama wanakipenda chama watakuja...
me nnakadi 28 za CCM ambazo nimezipata ktk mchakato wa kura za maoni na si mfuasi wa CCM cz nilipewa na Kada wao na zimempitisha hapa jimboni kwetu lakini UKAWA watachukua jimbo cz jamaa ni dhaifu sana bt aligawa kadi za CCM lundo kwa vijana hapa mtaani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.