Unaweza ukakutana na sponsa akakuomba kinyeo kwa laki mbili ukagoma ukataka BiRioni tatu nukta sita nane.
Baadaye unakutana na kidampa muuza nyanya hakupi hata aftatu lakini anakutifua mpaka basi.
Kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa, so yes, nikipandisha bendera shambani kwangu kuienzi sera ya kilimo itakuwa sahihi tu.
Huu ni uzaRendo. Wengine wanatawazia bendera kabisa wanajipangusia mavi.
Bora huyo anawakilisha HAPA KAZI TU.
Naagiza wamuachilie mara moja.
Tangu kuzaliwa kwangu nimekuwa nikijihisi nina komwe kubwa sana hivyo sina budi kuwa BICHWA KOMWE.
Hata mume wangu analijua hilo na ameshanipa pole.
Cc: secretarybird Mbaga Jr Lamomy
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.