achana naye shabiki huyo!Kama ccm ndo wacha Mungu,basi shetani ni neno la kufikirika tu!mimi naamini kuwa hata masons hawana roho katili km ccm,tena kwa raia wao.
Nipo mufindi Iringa,channels kadhaa zikiwemo ITV,TBC1,IROKO,CHANNEL10,etc zimepotea,hata kwenye channel list hazionekani.Wahudumu wenu wananipa majibu ambayo hata hayanisaidii.02139222989.
watanzania wamevumilia kwa miaka 50,hiyo 15 itawashinda?watu wamejimilkisha nchi kama yao,wengine tumekuwa kama wapangaji muda wote,then watwambia tuwe na imani na ccm?
sasa punguani nani hapa?anayetukana au mtukanaji?functions of the government are well known and one of them is to promote welbeing of its people!sasa msomi kama wewe unaposema si ukawa wala cdm itakayokuletea maendeleo tukueleweje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.