Wewe ni mpuuzi tu huitaji staha yoyote
Kumbe una njaa kiasi hicho
Wenzako huwa wanasema wakikwama tunawarushia chochote kitu sio utapeli wa njoo pm
Kwaio huko pm ndio hutokuwa busy?
Kenge mmoja
Kuna documentary nilikuwa nasikiliza wanasema kuna aina tofauti za uchawi,hata wazungu wanao uchawi ila wengi hutumia for positive outcome,wanasema aina ya uchawi uliopo africa ni wa kuumizana hauna faida na ndio uchawi mbaya sana hata wao hawapendi matumizi ya uchawi huu
So kwa huku africa...
Hahah wapo wengi sana
Mimi nilikutana na halima mdee kipindi cha seke seke lake la covid19 si umeona jambo lake limetulia mjini hapa watu wapo busy kwa sangoma[emoji28][emoji28][emoji28]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.