Recent content by biabia

  1. biabia

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anakula maisha arabuni, Bila salamu za rambirambi, wazazi wa Joshua Mollel wakipambana wenyewe

    https://www.hamasvideo.com/joshua-mollel-murdered-by-palestinians/
  2. biabia

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anakula maisha arabuni, Bila salamu za rambirambi, wazazi wa Joshua Mollel wakipambana wenyewe

    Lete uchunguzi wa kisayansi unaodai kuwa uongozi ni swala la ke au me. Leadership is an art, leaders aren't born only
  3. biabia

    JamiiForums Tanzania Kwa utetezi wa Joshua Mollel, soma maelezo mengine hapa chini

    Ezekiel Kitiku ana interview yake hapa https://youtu.be/201-AkxoMbk?si=7pdHv0heHzkU1Mtq Alizungumza kuhusu mazingira aliyokuwa nayo alipojikuta kwenye shelter za kujikinga na mabomu. Alikuwa anaishi wneo moja na Clemence ila yeye kwa bahati mbaya au nzuri ilikuwa zamu yake kuingia shambani...
  4. biabia

    JamiiForums Tanzania Kwa utetezi wa Joshua Mollel, soma maelezo mengine hapa chini

    Ntakuajiri uwe editor mkuu wa makala maana naona umebobea kwenye uandishi. Humu JF si kila mtu atakuwa mwandishi, labda nimekuzidi kwenye mengi zaidi. Nilishamwambia jamaa mwingine kuwa nilitaka kuongelea mengi na sikutaka kuanzisha uzi mpya kwa kila point nikaamua kuunganisha kila kitu...
  5. biabia

    JamiiForums Tanzania Kwa utetezi wa Joshua Mollel, soma maelezo mengine hapa chini

    We endelea kusema kuwa ni uongo. You're just a JF username
  6. biabia

    JamiiForums Tanzania Kwa utetezi wa Joshua Mollel, soma maelezo mengine hapa chini

    Nimeshamjibu mwenzio. Stop projecting bro. Pombe mnazozipenda nyinyi mnadhani kila mtu anapenda pia? "Usipopaelewa ni wapi. Siwezi kuanzisha thread tofauti ili kuwasilisha nibachokijua. Nimeanza kumpongeza Nanyaro kwa kuwa spokesperson mzuri wa familia, pili nikaomba watu tuwe na umoja katika...
  7. biabia

    JamiiForums Tanzania Kwa utetezi wa Joshua Mollel, soma maelezo mengine hapa chini

    Kiswahili chako kinahitaji update. Jifunze kusoma kwa sauti
  8. biabia

    JamiiForums Tanzania Kwa utetezi wa Joshua Mollel, soma maelezo mengine hapa chini

    Nimegundua watanzania wengi mna shida ya reading comprehension Reading comprehension is the ability to process written text, understand its meaning, and to integrate with what the reader already knows. Reading comprehension relies on two abilities that are connected to each other: word reading...
  9. biabia

    JamiiForums Tanzania Kwa utetezi wa Joshua Mollel, soma maelezo mengine hapa chini

    I said what I said. Mnataka msambaze ili familia izidi kuumia? Have empathy basi
  10. biabia

    JamiiForums Tanzania Kwa utetezi wa Joshua Mollel, soma maelezo mengine hapa chini

    Hebu nieleze mwandishi uliyebobea? Siweki link maana hamchelewi kusambaza hizi picha mitandaoni. Mimi nimeeleza nilichoona. I ain't showing anyone anything. Nimeattach picha mbili na Instagram yake juu. What else do you want bro
  11. biabia

    JamiiForums Tanzania Kwa utetezi wa Joshua Mollel, soma maelezo mengine hapa chini

    Mimi kilichoniuma ni mwili wake umeharibika sana kusema ukweli. Kwanini waupeleke mwili Gaza? Kwanini wamvue suruali yake na kuvunja miguu juu? Yaani I'm traumatized
  12. biabia

    JamiiForums Tanzania Kwa utetezi wa Joshua Mollel, soma maelezo mengine hapa chini

    U You are coping hard bro. Hakuna sehemu niliyoinsinuate kitu kama hicho. You either lack reading comprehension or something else. I can't save you
Back
Top Bottom