Mkuu sio maandalizi ya uchaguzi. Ni shinikizo kutoka kwa nchi wahisani na donors. Wameelekeza kutotupa msaada kwenye budget yete ikiwa kodi ya wananchi wao ndio inasaidia budget yetu huku kuna wachache( mafisadi) wanaomisuse pesa za wananchi.
Hivyo wameitaka serikali yetu kuhakikisha...
Naombeni mnikaribishe jamani, nimekuwa nikivutiwa sana na thread zenu napenda kuwa mwanachama tangu leo.
Naahidi kuilinda na kuitete JF kwa moyo wangu wote.
Naomba kuwakilisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.