Mkuu hapo umenena vzuri.kutokujisafisha vizuri papuchi kunapelekea hiyo hali ambayo huwa ni fungus.usafi unahitajika yapasa kuingiza kidole kuutoa kila unapojisafisha.Zaidi eaende hospital ili aoate tiba ya fungus ya kunywa naile antifungul ya kuinsert kwa papuchi.
Usafi ndio kila kitu.yatakiwa unaposafisha uke tumia maji safi ya vuguvugu na sabuni nahakikisha unaingiza kidole ili kutoa uchafu/uteute unaotoka huko ndani,baada ya hapo kausha kwa taulo/ kanga safi.pia kuvaa epuka kuvaa chupi zenye material ya mpira ambayo husababisha unyevu zaidi(coz...
Kaka pole,wivu ktk mapenzi upo naniishara ya upendo wa dhati kwa mwenzio,ila nahis huo wivu wako unaupeleka mbali zaidi nakuhis wanaweza kua na mahusiano jambo ambalo linaweza kua linazidisha argument zenu.as long as she is there 4u in everyway kama ulivosema ni swala tu la kumueleza kua hupendi...
Hivi viashiria vyakuzaliwa kwa mahusiano yasiyo rasmi ni vipi mkuu?nadhani ingekua vema zaidi kama ungeshauri elimu itiliwe mkazo zaidi kuhusu madhara ya ngono zembe na ukimwi.kondom zinawezakupatikana kwa wingi na zisitumike vilevile.
Kaka pole sana.Kama umejitahd kwa muda mref bla mafanikio bas uyo dada hakupendi.nakushauri upotezee kama alikua anakutest ukmpotezea ataktafta yeye.ila ukiona kimya basi akupend na hakuhtaj.mapenzi hayalazimishwi kakangu,tulia utampata ataekupenda kwa dhat.
Sheria ya ndoa ya tanzania inazungumzia dhana ya ndoa(pressumption of marriage) ni pale m'me na m'ke wanapoishi pamoja kama mume na mke na jamii ikawapa hadhi ya wanandoa kwa muda wa miaka 2 na zaidi na c miez sita kama ulvojibiwa.
Kwakuwa hii ni dhana tu hvyo yaweza kukanushwa na mmoja wenu,na...
katika kufungua shauri la madai ya talaka mahakamani ni lazima applicant awe na form namba 3 au barua toka baraza la usuluhishi itakayoelezea kua baraza hlo limewasuluhisha na kuona kua ndoa yenu haiwez kurekebishika tena,mabaraza hayo ni BAKWATA kwa walofunga islamic marriage,kanisana,baraza...
Mkristu,(hofu ya Mungu ndani yake)mwenye shughul halali yenye kuingiza kipato(employed/not employed)umri 30 yrs n above,mwenye kujitambua.elim kuanzia dploma/form 6 n abov mi ni graduate so tsiachane kivle etc.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.