Recent content by Bhisumbinyama

  1. B

    Rais hamuamini Makamu wake?

    Wewe hujielewi. Makamu hufanya kazi anazotumwa na Rais. Sasa kama Rais kaona afanye mwenyewe jukumu fulani ndo kutomwamini makamu? Acha uchonganishi kijana.
  2. B

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi amefanya uteuzi

    Si bora magaidi kuliko watoa baraka wa Vatican. Mumekwisha aisee.
  3. B

    Kifo cha ACT Wazalendo ni "Poor parenting"

    Sufian una shida sana. Kwani chama kuwa na uwezo wa kupata wabunge pemba ,unguja na bara ndo kufa huko?
  4. B

    Jokate na Lulandala kuimaliza CHADEMA! Nawaamini kwa mipango na Propaganda

    Japokuwa siwapendi CHADEMA lkn hapa umeongopa. CHADEMA si chama cha kumalizwa na mlimbwende. CCM wajipange vema.
  5. B

    Tuwe Wakweli, Rais amechoka ila wapambe ndio ving'ang'anizi 2025 agombee

    Kusema amechoka ni dhana hasi. Mama hajachoka na anaendelea kupiga mwingi. Ni yeye mpaka 2030 inshaallah. Akitaka ni Hussein Mwinyi kisha January Makamba. Imeisha hiyo.
  6. B

    Kwanini Rais mstaafu Kikwete hakupewa nafasi ya kuongea katika uzinduzi wa Kavazi la Dkt. Salim?

    Kwa sababu ratiba Alibaba sana hakukuwa na muda wa kutosha halafu machege umbea.
  7. B

    Freeman Mbowe akutana na Martin Maranja Masese

    Kwa hiyo na nyie CHADEMA hii ni habari?
  8. B

    Tuwe Wakweli, Rais amechoka ila wapambe ndio ving'ang'anizi 2025 agombee

    Eti amechoka mwee! Mama yupo sana kijana mpaka 2030 inshaallah.
  9. B

    Hii ndio mikoa ambayo Rais Samia amewekeza nguvu kubwa kuiletea maendeleo

    Insha ALLAH na uwe hivyo na akimaliza tu achukue dkt Hussein Mwinyi kisha January Makamba.
  10. B

    Rais hawezi kumchukulia hatua RC Chalamila kwa sababu anamuogopa?

    Hata kama ni mlevi lakini bora uvumiliwe kwanza DSM ili adili na walokole na makanisa yao ya vurugu.
  11. B

    Zanzibar: Freeman Mbowe kuhutubia Taifa kwenye Maadhimisho ya siku ya Wazee Duniani

    Yaani wee jamaa wewe eti Ustadh Abubakar Mbowe wakati mbowe ni mgalatia! Mweee!
Back
Top Bottom