Recent content by bethlu

  1. bethlu

    Msaada anayejua App nzuri ya vitabu

    Habari, Naomba anaejua app ambayo naweza kupata vitabu anijuze.
  2. bethlu

    Unajua kwanini Wazungu wanapenda kusoma vitabu?

    Nimecheka kama mazuri ugweduro tena
  3. bethlu

    Fahamu zaidi kuhusu tatizo la minyoo sugu na tiba yake

    Na kwa anaejisaidia haja Kubwa inatoka na minyoo midogo midogo na wakati mwingine umekaa tu unausikia ukitekenya na kutoka
  4. bethlu

    Jinsi gani naweza kufuta fomu nilioijaza TRA

    Je! Naweza kufuta fomu nilioijaza Ya kuomba tin namba online, maana nilijaza fomu mwaka Jana lakini nilipoenda tra nikaambiwa tin namba yangu anatumia mtu wa tabora. Nataka nianze upya kujaza fomu lakini online naambiwa fomu yangu ilishapokelewa. Nafutaje?
Back
Top Bottom