Nilikosea sana kuhoji Dr. Samia kupewa kijiti. Niwieni radhi wanachama wenzangu.
Sababu kwanini Dr Samia aendelee bila kupingwa:
1. Hakuna rais mpya atakaekuja kupambana ili amalize miradi ya awamu zilizopita.
2. Rudia 1, halafu kumbuka uwanja wa Ali Hassan Mwinyi Tabora.
3. Rudia 1, sgr...
Wizara ya elimu imekua inasisitiza kuwa mitihani ya siku hizi inapima uelewa zaidi kuliko kukariri.
Na necta nao wakitoa matokeo watoto wamefaulu na division 1 za hatari kuliko zamani.
Sasa kama hawa watoto wamepimwa uelewa na wamefaulu kwa 1 za 7 na 1 za 3 za kutosha ina maaana wanajua...
Demi , wanawake mnafanya mengi tu ya maana.
Hata Dr Samia I am sure amefanya mengi ya maana, hoja yangu mimi ni namuombeaje kura kwa watu wanaoona wanawake hawatakiwi kuongoza wanaume?
Hapana, uislam ni dini nzuri sana.
Hoja yangu mimi ni kwamba, kama mwanachama wa CCM inakua ngumu kumshawishi imam mwenye wake wawili na anaeamini "arijalu qawamuna ala nisaa" - "" Mwanaume ni kiongozi wa mwanamke"" ampe kura mwanamke ili aongoze.
Mwanamke ambae hata kwenye mimbar hawezi kusimama.
Mimi nina kadi ya muda mrefu.
Marekani nchi iliyoendelea kuliko zote duniani, nchi ambayo mwanaume anaweza kubadili jinsia, akakimbia mke na watoto na jamii ikamkubali.
Nchi hii kwa mara ya pili mfululizo imekataa kuwa na rais mwanamke. Wameona bora shetani kuliko mwanamke mara zote mbili...
CCM tumelikoroga ila kulinywa hatuwezi. Mgombea yupo slow miaka minne hakuna hata moja la maana lakumbeba. Mimi ntapiga kura ya hasira ili tu ccm wakose.
Mkuu mimi mwenyewe ni CCM ila mwaka huu tumefeli. Samia hatoshi kuwa kiongozi wa chama. Yaani tumeishi nae miaka minne, kwa namna tulivyoishi we unaona ni sawa tuishi miaka mingine mitano hivihivi? Mitanoo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.