Recent content by BestOfMyKind

  1. BestOfMyKind

    Mwaka mmoja wa mzee Kinana madarakani, vijana wanagawana rushwa hadharani

    walioshika madaraka hawapo upande wa wananchi
  2. BestOfMyKind

    Mwaka mmoja wa mzee Kinana madarakani, vijana wanagawana rushwa hadharani

    Mnakumbuka uchaguzi wa 2015 pale Dodoma kuna mtu alikamatwa na brifkesi la noti karibu na ukumbi wa CCM? Kipindi kile rushwa ilikuwa jambo la kawaida sana ndomana watu walikua na ujasiri ule, na juzi watu wamegawana rushwa kwenye chaguzi za ndani za CCM. Nyakati zote hizi mbili zina uhusiano...
  3. BestOfMyKind

    Suala la umeme Tanzania ni uzembe wa Serikali

    Wanyamwezi tuna usemi "if it ain't broke, don't fix it." Tulikua tunaenda vizuri tu, umeme ukikatika hauendi muda mrefu unakua umerudi. Lakini tukaona hapana, tupindue meza. Kalemani kaa pembeni ili aje January. Makamba tungeweza kumuweka hata wizara ya mambo ya nje, lakini wapiii? Kalemani...
  4. BestOfMyKind

    Hivi unafahamu pesa ya Tanzania inachapishwa Ujerumani?

    Pesa, noti za Tanzania zina printiwa Ujerumani. Nchi mbili tu Afrika Mashariki ndo zinachapa fedha nchini mwao ( Kenya na Congo), pia ni nchi tisa tu kiujumla Afrika ndio zinachapa fedha zao ndani ya nchi zao. Chanzo: DW Nchi za afrika na chapa za fedha
  5. BestOfMyKind

    Dr. James D Watson: Mshindi wa Nobel aliyedai kiwango cha akili kinatokana na vinasaba vya jamii (genes)

    Sio kweli, kiwango cha akili kitaalamu kinachangiwa na mambo mengi Moja ni uzito wa mtoto anapozaliwa. Mtoto mwenye uzito mkubwa hivyo ana ubongo mkubwa na akili nyingi. Pili mazingira, changamoto nyingi zimafanya binadamu awe mbunifu ili awese kusavaivu hivyo kufanya mpaka anapofikia umri wa...
  6. BestOfMyKind

    Uvivu wa serikali kukusanya kodi ndo unaleta tozo.

    Serikali imewaonea huruma wafanyakazi wanaolipwa kima cha chini lakini bado wanakatwa PAYE. Ikaona si sawa mtu alipwe laki 3 yenye kodi wakati kuna bodaboda wana ingiza mpaka laki 6 kwa mwezi na hawalipi kodi ya kipato. Sasa namna ya kuchukua kodi kwa watu ambao wana kipato na hawalipi kodi...
  7. BestOfMyKind

    Rais Samia, Mwigulu Nchemba mnafurahi kuumiza watu na wafanyakazi kwa tozo?

    Hana kiburi, akili tu hana. Yeye hana mipango ya maendeleo ya muda mrefu hata kama ipo sio kipaumbele kwake. Anataka kutatua changamoto moja moja inayotokea sio kushughulika na hali ya uchumi kiujumla. Sasa hivi Inatafutwa hela ya ruzuku ya mbolea kwasababu hesabu za mkopo zimegoma. Tarehe 15...
  8. BestOfMyKind

    Serikali ongezeni tozo zaidi, Wananchi wengi hawalipi kodi Tanzania. Wanaolipa kodi hawafiki Milioni nne

    Mambo ya tozo, wanazima vimoto vidogo vidogo hakuna mpango wa kukabiliana na shida kwa muda mrefu
  9. BestOfMyKind

    Serikali ongezeni tozo zaidi, Wananchi wengi hawalipi kodi Tanzania. Wanaolipa kodi hawafiki Milioni nne

    Ulichoandika kina maana gani? Yaani waendelee kufanya mambo yanayowaumiza wananchi?
  10. BestOfMyKind

    Nchi ngumu sana hii. Watu hatupo serious na maisha yetu

    Yaani watz tunavyoishi ni kama vile bado tunajifunza kuishi. Ni kama vile tupo mafunzoni yaani hata ukikosea mara mia kwa kufanya makosa yale yale utajirekebisha kwenye maisha yenyewe haya yakipita. Hatupo sirias kabisa. Kila kitu kimepanda bei kasoro mazao ya mkulima tu yaliyo shambani. Yaani...
  11. BestOfMyKind

    Wilaya ya Rungwe, Ijumaa wanafunzi huwa hawarudi nyumbani saa 5 kama mtaala unavyotaka

    Kati ya mambo ya ajabu nchini, ni hili la kutofuatwa mtaala la wilaya ya Rungwe. Yaani wilaya yote imeamua siku ya Ijumaa vipindi vya darasani vitaisha muda wa kawaida ( saa 9 kwa msingi na saa 11 kwa sekondari) Hakuna uhiari wa kuwepo au kutokuwepo shule muda wa swala ya ijumaa, tofauti na...
  12. BestOfMyKind

    Kodi kwa 'watoto' wa miaka 18?

    wanaotumia mashine za efd kuna sehemu inabidi wajaze TIN ya mnunuzi iili ionekane kodi imelipwa na nani. Kodi ya VAT tunalipa kila siku tunapofanya manunuzi lakini risiti haioneshi kama ni wewe ndo umelipa. Nchi za watu huko risiti ya manunuzi inamtambulisha mnunuzi kama mlipa kodi.
  13. BestOfMyKind

    Rais Samia ni Corporate Leader

    pumba tu hizi, imperialism ipo ya kutosha. Kuna nchi africa hii ambazo benki kuu zao ni tawi la benki kuu ya ufaransa. Sisi kutumia shilingi kama thamani ya fedha yetu ni ubeberu wa kutosha, shilingi ndo fedha yenye thamani ndogo sana kwenye mtiririko wa fedha duniani.
Back
Top Bottom