Kaka sikendo walizotegemea kuuzia sura Magufuli anazifanyia Kazi kwa weledi Sana.
Kwisha habari yao, ndo maana wanaona soo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani, ndani ya muda mfupi amejaribu kuonyesha kwamba ni kiongozi ambae anataka mabadiliko makubwa ya kiuchumi yatokee Tanzania.
Ili mabadiliko haya yaweze kuleta matokeo chanya, rais Magufuli alianza kwa kurudisha imani ya serikali kwa kudhibiti watumishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.