Recent content by berysam99

  1. berysam99

    Nilidisco chuo, naweza kuomba tena mkopo?

    Pole snaa jmn mwaka wa tatu
  2. berysam99

    MSAADA: Naomba kujua tiba ya miguu yangu, nimeenda Hospitali lakini imeshindikana

    Samahn eti kaka rotion hiyo scaboma inapatinaka. Kwa maduka ya Aina gan?au pharmacy na Bei yake ni shingap asante
  3. berysam99

    Nina shida hii kwenye ngozi

    Amen barikiwa
  4. berysam99

    Nina shida hii kwenye ngozi

    Asante snaa kwa ushauri dear
  5. berysam99

    Nina shida hii kwenye ngozi

    Asante sanaaa dear mungu akubarik
  6. berysam99

    MSAADA: Naomba kujua tiba ya miguu yangu, nimeenda Hospitali lakini imeshindikana

    Shida ni kuwa natokwa na vipele ambavo vinaweka usaha ndan zen vinapasuka na kuniacha Kama ivo mwanzo tatizo lilikiwa ni lamsim yaan masuka tyuu Sasa nahc baada ya kukomaa maana ni Kama miaka 12sasa imekuwa ni frequently hospital nimepima vinyama nmetolewa lkn shida hakuna Zaid ya kuwa nmeambiwa...
  7. berysam99

    MSAADA: Naomba kujua tiba ya miguu yangu, nimeenda Hospitali lakini imeshindikana

    Ni vipele dear vinatoa usaha na kuwashwa snaaa inaonekana kuwa vinyweleo havipat nafas ya kupenya kutoka nje hivo badala yake vipele ndo vinatoka na kuniacha ivo
  8. berysam99

    MSAADA: Naomba kujua tiba ya miguu yangu, nimeenda Hospitali lakini imeshindikana

    Sikumbuk Zaid lkn nilikuwa na umri wa miaka Kama kumi namkubuka nilikuwa na vinyoleo miguun so nikavikata na kiwembe japo Sina uhakika Kama iyo ni sababu
  9. berysam99

    Nina shida hii kwenye ngozi

    Jamani msaada nina shida ya ngozi, ni miguu tu. Nimeshatembea hospital nyingi kama KCMC kwa maspecialist lakini wapi, dawa za kienyeji wapi Msaada japo nikikalibia period ni shida zaid, ni vipele vinatoa usahaa na kuniacha kama hivo sasa hivi situmii mafuta yoyote zaid ya dawa ya hospital na ni...
  10. berysam99

    MSAADA: Naomba kujua tiba ya miguu yangu, nimeenda Hospitali lakini imeshindikana

    Naomba msaada wa dawa ya miguu yangu, nimetembea sana hospitali nimechoka jamani.
Back
Top Bottom