Recent content by BEQIT TANZANIA

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kwanja Kinauzwa

    Umeme upo tayari mkuu, kwa miguu ni kama 200m kwa gari ni 1.5km.
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kwanja Kinauzwa

    =Kiwanja kipo ukonga mongolandege =Maji yapo ni mtu binafsi anaunganishia wanaohitaji, mita 50 kuna jirani zangu wawili wameshaunganishiwa maji, itakuwa rahisi kufika kwenye eneo husika. =Maeneo yote yamejengwa tayari isipokuwa mie, na yanapitika kiurahisi hata ukiwa na gari njia zipo mbili...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Kwanja Kinauzwa

    Sorry mkuu sikujua.
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kwanja Kinauzwa

    Habari wakuu. Kiwanja kinauzwa ukubwa ni 23 x 30 m, kipo banana ukonga njia ya kuelekea kinyerezi. Bei 6 million. Kwa atakayehitaji tuwasiliane 0715 761787. Good day!
  5. B

    JamiiForums Tanzania Exploration Supplies, Drilling Supplies and Mining Supplies

    Ndugu wana JF Nichukue fulsa hii kuwajulisheni na kuitambulisha kampuni kwenu. Kwa yeyote atakayekuwa anahitaji vitu (vifaa) vyovyote ajili ya matumizi yoyote ya kwenye utafutaji na uchimbaji wa madini. Ifuatayo ni orodha ya vitu tunavyouza katika madaraja mbalimbali. 1,DRILLING AND...
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kipanya Leo 'Si vibaya Polisi kufanya Ghasia Ili kuleta amani'

    Leo kwa yule kesho kwangu kesho kutwa kwako.
Back
Top Bottom