Yaani watu hawapo responsible kabisa.
Sikuwahi fikiri kama kungekuwa na upumbavu wa namna hii.
Socket nyaya zipo wazi zimeharibika no preventive maintainance?
Ni upumbavu ambao haukubaliki wala kuvumilika stend kuu kama hii ya Magufuli Mbezi louis kuendelea kukusanya mapato huku abiria wakitoa pesa zao kwaajiri ya huduma ya choo,Kisha wanaambiwa ni haja ndogo tu maana maji hakuna almost 6hrs now tokea kusitishwa kwa huduma hiyo muhimu.bila hata kutoa...
Dogo Kuna fyuzi moja kwenye ubongo wako imefyatuka situka mapema.
Hiyo unayoiona na kuihisi is just illusion Mwenyekiti wa vijana kiatu limejaa vumbi kama alitembea kutoka Buza kwa mama kibonge mpk kwa mbiku 😂😂
Pia hayo makofi ulitoyaaikia yanapigwa ni hallucinations
Nyie NYUMBU kila siku mnatabiri mwisho wa CCM TU tokea 1995 au ndiyo ile ya mkuu wa ukoo wa nyani kila siku anaahadi kesho atajenga kisa mvua inanyeshea wanaukoo? Ikikatika ni business as usual
Ndugu Gentamycine antibiotiqe popoma wa mapopoma.kwa thread hii ya leo.
Nakupa salute ya heshima ya juu zaidi.
Tulikuwa tunamwelewa JPM Na tutaendelea kuielewa Hadi mifupa yake ni wale pekee tulio naIQ kubwa tu.
Wazalendo na wafia nchi Kama Mimi.
Salute to the true son of Africa,the Great JPM
😂😂 Sijawahi kutana na mwendawazimu wa kiwango hiki tokea misingi ya dunia iundwe.
Kweli nimeamini kua uyaone.
Hata watoto wanakufa chini ya Miaka mitano nao walitenda dhambi mpk zikawapungukia Miaka ya kuishi?
Kweli taahira huona kila mtu ni tahira.
Good morning moron
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.