Recent content by benzema9

  1. B

    Magufuli baba njoo udom basi..mbona huji???

    Udom as no shida tupu utadhani secondri za kata..uongozi mbovu..kusajiriwa tu had I bahati tu. Kwan kuna baadhi ya watu hadi Leo hawajasajiriwa magufuli wapi baba..
  2. B

    Jipu la Udom limeiva

    Duh yani mm had I Leo cjasajiriwa cjui itakuwaje...basa anazingua kinyama
  3. B

    Unalialia nn udsm round 6&7 teyar

    Hatimaye jamaa wameachia
  4. B

    Waliopata admission later udom tusaidiane

    Mkuu nami naomba nitumie email nyagawakarimu@gmail.com.
  5. B

    New comers udom

    Iv bro nahitaji kupanga inawezekana kweli?
  6. B

    NACTE mnatuchanganya

    Duh msiwe na shaka wakuu hiyo trh 2 ikifika we chukuo mavyet yako nenda chuo umachotaka direct kaombe usajiriwe
  7. B

    New From NACTE

    Duh kipus unataka kusema ndo unaweza kwnd kufanya registration sum unayotaka
  8. B

    Nipo njia panda sijajua ni chague nini?

    Nenda kaolewe 2 mwaya....
  9. B

    MSAADA;-Amechaguliwa SUA ila Kwenye Selection hayupo

    Kuna batch one ambayo imetoka teyar lakin kuna tena batch nyingine zinakuja automatically lazm utakuwepo kwny izo batch list zijazo
  10. B

    MSAADA;-Amechaguliwa SUA ila Kwenye Selection hayupo

    Hongera Dana chakufanya jiandae tu kwan TCU ndo kilakitu
  11. B

    Msaada wa haraka kwa mwenye uelewa

    Yan n iv wadau kama ukitokea umekosa kuchaguliwa Chuo fulan has unapewa kuondoa ile kpzi au chuo kuchagua choice nyingine ama kwa kozi ileile kW chuo kingine au chuo hichokwa kW kozi nyingine
Back
Top Bottom