Recent content by benwise

  1. benwise

    Ni jambo gani ambalo kama ungelijua mapema maisha yako yangebadilika

    Kwenda chuo cha driving na kupata leseni nikiwa na miaka 20 na kitu matokeo yake nimefika mpaka 30 na Sasa ndio nimegundua kama ningefanya hivyo ningekuwa mbali sana muda huu,badala yake mda huo nikawa nasoma kozi ambazon Sina future nazo mpaka sasa
  2. benwise

    Gallery ya shule mbalimbali za Sekondari Tanzania

    Iyunga moja hiyo
  3. benwise

    Share nasi matukio yako ya ukuaji

    Daah!!!hyo na sisi pia tumepitia mda wa kichapo unapewa kwanza bible usome hicho kifungu
  4. benwise

    Ipi top 3 yako ya nyama tamu?

    Ingekosekana hiyo uliyotaja ya kwanza ningeshangaa sana ningehic labda sio wabongo wanaochangia uzi
  5. benwise

    Wanawake wetu Tanzania hawana sauti nzuri

    Duh wana mna majibu
  6. benwise

    Waliosoma shule za Ufundi (Technical schools) Tukutane hapa

    We jamaa bila shaka umesoma Iyunga o level 2012-15
  7. benwise

    Startimes Tanzania: Support thread (maswali, maoni na ushauri)

    Mbona local channel zimetolewa,imebaki tbc na safari tu
  8. benwise

    TANZIA Msanii wa HipHop SALU T afariki dunia

    Hivi huyu jamaa alikua anaishi mbeya mjini au tukuyu?
  9. benwise

    Nifanyeje ili niweze kutuma maombi ya ajira Serikalini?

    Hapana namaanisha waliambiwa wapeleke vyeti original vya form four lakini hawakurudishiwa tena mpaka mtu amalize kulipa madeni yote ndio anapewa cheti chake cha form four pamoja na cha chuo
  10. benwise

    Nifanyeje ili niweze kutuma maombi ya ajira Serikalini?

    Salam wakuu.kuna ndugu yangu amehitimu chuo cha ualimu kwa level ya shule za msingi miaka mitatu iliyopita na sasa kwa zaidi ya miaka miwili anajitolea kwenye shule fulani huo mkoani. Changamoto iliyopo tangu ajira zimetangazwa mara ya kwanza na hata sasa ameshindwa kuomba kutokana na...
  11. benwise

    Unamkumbuka Mwalimu wako aliyekufundisha Elimu ya Awali?

    Yeah!!ni huyohuyo bibi,maana tangu anifundishe chekechea ni zaidi ya miaka ishirini sasa
Back
Top Bottom