Ni kweli lakin bado kwenye dunia hii wapo wengi wanaohitaji wa kuwashika mkono japo utapeli ni mwingi pia,ila haimaanishi wahitaji hawapo,mi naomba mwenye moyo wa kuguswa afanye kwa mapenzi mema
Habari wakuu,nina shida sana ya pesa kuanzia milioni 1 kutokana na mkwamo wa uchumi nilio nao, lakini bahati mbaya kwa sasa watu wanaonizunguka pamoja na ndugu zangu hakuna mwenye uwezo huo na sina mali inayoweza kuwa dhamana kwa hiyo pesa hali inayopelekea kupata mfadhaiko wa nafsi.
Najua mpo...
Kwenda chuo cha driving na kupata leseni nikiwa na miaka 20 na kitu matokeo yake nimefika mpaka 30 na Sasa ndio nimegundua kama ningefanya hivyo ningekuwa mbali sana muda huu,badala yake mda huo nikawa nasoma kozi ambazon Sina future nazo mpaka sasa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.