Kwenda chuo cha driving na kupata leseni nikiwa na miaka 20 na kitu matokeo yake nimefika mpaka 30 na Sasa ndio nimegundua kama ningefanya hivyo ningekuwa mbali sana muda huu,badala yake mda huo nikawa nasoma kozi ambazon Sina future nazo mpaka sasa
Hapana namaanisha waliambiwa wapeleke vyeti original vya form four lakini hawakurudishiwa tena mpaka mtu amalize kulipa madeni yote ndio anapewa cheti chake cha form four pamoja na cha chuo
Salam wakuu.kuna ndugu yangu amehitimu chuo cha ualimu kwa level ya shule za msingi miaka mitatu iliyopita na sasa kwa zaidi ya miaka miwili anajitolea kwenye shule fulani huo mkoani.
Changamoto iliyopo tangu ajira zimetangazwa mara ya kwanza na hata sasa ameshindwa kuomba kutokana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.