Recent content by Bentley

  1. B

    JamiiForums Tanzania Msaada bei ya gunia la dagaa wakavu mwanza

    Asante kaka
  2. B

    JamiiForums Tanzania Madini ya almasi

    Wakuu hapa tanzania tofauti na mwadui ni eneo gani limegundulika kuwa na viashiria vya madini ya almasi?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Bei ya shamba arumeru

    Habari wadau , nauliza bei ya mashamba wilaya ya arumeru kwa ekari moja, mweye kujua
  4. B

    JamiiForums Tanzania Kati ya Kondoa au Karatu, wapi ntapata faida nikilima vitunguu?

    Samahan Wakuu ni typing error , nilimaanisha vitunguuu na sio vitu guy
  5. B

    JamiiForums Tanzania Kati ya Kondoa au Karatu, wapi ntapata faida nikilima vitunguu?

    Habari za majukumu wakuu, Naomba kujua mwenye uzoefu na kilimo cha vitunguu, katika eneo la Kondoa au karatu wapi naweza pata faida, mtaji wangu ni tshs 100,0000.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Msaada bei ya gunia la dagaa wakavu mwanza

    Habari za majukumu wakuu, naomba kufahamu bei ya gunia la dagaa wakavu toka mwanza, musoma au bukoba na gunia ilo lina kg ngapi. Biashara hii nataka kuifanya iringa hivyo naomba kujua na gharama za usafirishaji
  7. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa sehemu ninayoweza kupima COVID-19

    Kwenda zambia
  8. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa sehemu ninayoweza kupima COVID-19

    Wakuu samahani wapi naweza kupima COVID 19?
  9. B

    JamiiForums Tanzania Wakuu wapi naweza pata Covid 19 certificate?

    Habari wakuu naomba mwenye kujua anisaidie kuwa ni wapi naweza kupata covid 19 certificate? Sababu nataka kwenda nje ya nchi nahofia kupata usumbufu boader
  10. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nyaraka zinazohitajika kusafiri ndani ya Afrika Mashariki

    Ndugu nenda uhamiaji karibu na wewe, utajaza fomu online ya maombi ya passport,barua toka serikali ya mtaa au kutoka kwa mwajiriwa wako,Cheti cha kuzaliwa, cheti cha ndoa Kama umeoa, cheti cha kuzaliwa mzazi au hati ya Kiapo Kama Hana cheti cha kuzaliwa, temporary passport tshs 50000 na...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nyaraka zinazohitajika kusafiri ndani ya Afrika Mashariki

    Hahahaha kaka unataka nije huko bongo lirudi jina
  12. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nyaraka zinazohitajika kusafiri ndani ya Afrika Mashariki

    Passport Tayari ninayo ila inabidi nikachanje tu,
  13. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nyaraka zinazohitajika kusafiri ndani ya Afrika Mashariki

    Kaka hii card ya yellow fever and COVID 19 kiukweli ila naweza kupata kwa Njia gani kiuhalali?
  14. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nyaraka zinazohitajika kusafiri ndani ya Afrika Mashariki

    Asante sana kaka
  15. B

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nyaraka zinazohitajika kusafiri ndani ya Afrika Mashariki

    Mkuu kwa hiyo nikiwa na passport tu naruhusiwa kuingia kwa Mh ruto?
Back
Top Bottom