Usikate tamaa,vumilia,kujiua ni hasara ya nafsi yako milele,humkomoi mtu,jipe moyo,pambana kiume,maadam wewe umeona katika familia kuna umaskini,sasa sikia Mungu anataka wewe upambane uitoe familia hapo ilipo na kuiandikia historia mpya,jipe moyo unaweza,jiulize ukikata tamaa wewe unawaangusha...