Recent content by Benson GS

  1. Benson GS

    Soko la vitabu mtandaoni likoje?

    Nimeandika kitabu cha hisabati Kwa shule zinazotumia lugha ya kingereza, lakini changamoto ni Soko. Naomba mwenye uzoefu wa kufanya na kutangaza biashara mtandaoni anipé uzoefu au namna bora ya kufanya biashara ya academic books. Nipo Arusha.
  2. Benson GS

    Marufuku: Tabia zifuatazo kwa mwaka 2024

    Inauma sana, kuna mtu anaitwa Yona Nyingi nilisoma naye chuo, akapata kazi Moshi akiwa Mbeya akawa hana nauri akaomba nimuazime nauri nikampatia na ya kula kabisa. Lakini baada ya kupata akajizima data kabisa, nikimucheki ananiambia nitakupa tu, niliamua kumusamehe ila nikikutana naye Facebook...
Back
Top Bottom