Recent content by Benny13

  1. Benny13

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya Kozi ya Business Administration with Education

    Asante kwa majibu mkuu
  2. Benny13

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya Kozi ya Business Administration with Education

    Habari wanajamvi! Kuna mdogo wangu ni Mwalimu wa ngazi ya Diploma katika Shule ya Msingi. Ameajiriwa miaka ya karibuni. Anataka kujiendeleza kielimu Open University katika kozi ya Bachelor of Business Administration with Education huku masomo ya kufundishia yakiwa ni Bookeeping na Commerce . Ila...
  3. Benny13

    JamiiForums Tanzania Psychic Powers: Ni nguvu za kufanya miujiza. Wengi wanazo bila kujitambua. Je, wewe unazo?

    Huu uzi una madini fulani ya thamani. Ngoja niuchukulie serious
  4. Benny13

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Habari. Anatafutwa mwalimu wa kubadilishana nae kituo cha kazi, aende Ngara- Kagera, huyu aje Wilaya yoyote ndani ya Mkoa wa Dodoma, Singida, Pwani, Tanga, Morogoro, Kilimanjaro. Idara ya Msingi.
  5. Benny13

    JamiiForums Tanzania Mikopo kwa diploma maalumu UDOM

    Mkopo ni lazima uombe tena mapema bila hivyo hutopata.. nafikiri result slip zitakubaliwa kwasababu mwaka jana zilikubaliwa, form huwa zinapatikana kwenye website ya Udom (www.udom.ac.tz) ila bado hazijatoka kwa sasa, mahitaji muhimu ni kwenda na fedha za kujikimu kwasababu chakula unajitegemea...
  6. Benny13

    JamiiForums Tanzania Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    Cheki hapa naimani maelezo yamejitosheleza....
  7. Benny13

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja Dodoma Mjini

    Bado kipo ndugu zangu...
  8. Benny13

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja Dodoma Mjini

    Pia kwa anayehitaji kwenda kukiona tuwasiliane kupitia namba hizo....
  9. Benny13

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja Dodoma Mjini

    Bado kipo, kwa anayehitaji tuwasiliane.
  10. Benny13

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja Dodoma Mjini

    Kwa maelezo zaidi nipigie 0759017005 au 0718964346. Ahsante
  11. Benny13

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja Dodoma Mjini

    karibu Sana...
  12. Benny13

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja Dodoma Mjini

    Nimeku-pm mkuu
  13. Benny13

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja Dodoma Mjini

    Bado kipo, kwa wanaohitaji tuwasiliane kwa namba hizo nilizoziweka hapo juu.
  14. Benny13

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja Dodoma Mjini

    Nashukuru Sana mkuu kwa support yako kwa kutoa more details about ILAZO South, nilipanga nikiache kwanza kiwanja hiki mpaka ntakapomaliza ujenzi niliouanza mkoa niliohamia kikazi lakini niwe muwazi nimefika sehemu nimekwama hivyo sina budi kukiuza kiwanja hiki ili nimalizie ujenzi nliouanza...
  15. Benny13

    JamiiForums Tanzania Nauza kiwanja Dodoma Mjini

    Ni eneo zuri Sana, yaani nilikuwa napavutia kasi nijenge lakini mambo ndo yameingilia Kati, hivyo nazidi kuwakaribisha ndugu zangu kiwanja bado kipo. Karibuni sana
Back
Top Bottom