Recent content by Benjz68

  1. Benjz68

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Ko kama hii si iko poa twuuh?
  2. Benjz68

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Nimekuelewa mzee....kwa kuzipata maeneo gan itakuwa rahisi zaid kwa apa dar? Au kama kuna mtu unamfaham anaziuza... Sent from my SM-J100FN using JamiiForums mobile app
  3. Benjz68

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Samahani Chief,laptop zipi(aina) kwa dell au Hp(kwa izi mbili peke yake mfano Hp pavilion 15 au 17) zina Intel hd 4600 mkuu nashida nayo niweze kunnua nataka ncheza fifa16 au COD Black Opps
  4. Benjz68

    Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani

    Ko mfano ili nijue which is OG and which ni clone(fake) ntajuaje kaka? au kwa s7 clone zake hamna?
  5. Benjz68

    Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani

    Ahsante sana mkuu nimekuelewa.....na je kwa view zako iphone 6s na s7 ipi iko vzur zaid in all aspects?
  6. Benjz68

    Jihadhari na simu za mitandao ya Kikorea, China na Marekani

    Nataka ninnue s7 from china its cheap kule je vgezo gani niviangalie kabla sijatuma hela na kutumiwa hyo sim? Msaada wako Chief ili nipate kitu brandnew OG au second hand OG na je naskia siku iz TCRA wanazfungia sa sijui kwel(zinazoingizwa bila kulipiwa kodi)
  7. Benjz68

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu PC games

    Hp ProBook 450 au Hp ProBook 640 vp izi? Sent from my SM-J100FN using JamiiForums mobile app
  8. Benjz68

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu PC games

    Laptop sana sana Hp nna 350k mwsho sana naweza kujchanga 400k...kwa io bei naweza pata mpya?
  9. Benjz68

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu PC games

    Pc gan inaweza kurun fifa 16 vzur bila matatizo? Nashida nayo natafuta the less cheap, bei isiwe expensive sana
  10. Benjz68

    Kuna athari gani kwa anayefaidika na mkopo HESLB kurudia mwaka wa masomo?

    Anhuh dwuuh kwa io kuendelea nao ule ule uje kwenye chuo ulichoanza tena masomo upya mwaka wa kwanza haiwezekani.? Sent from my SM-J100FN using JamiiForums mobile app
  11. Benjz68

    Kuna athari gani kwa anayefaidika na mkopo HESLB kurudia mwaka wa masomo?

    Kwa hiyo hapa utapokea hela yako iliyobaki ya miaka miwili sio? Sent from my SM-J100FN using JamiiForums mobile app
  12. Benjz68

    Kuna athari gani kwa anayefaidika na mkopo HESLB kurudia mwaka wa masomo?

    Anhuh okey nashkuru,Mfano kama umehama chuo unachosoma na umeapply chuo as kuanza afresh upya tena 1st year chuo kingine na course nyingine inakuaje apo? Sent from my SM-J100FN using JamiiForums mobile app
  13. Benjz68

    Kuna athari gani kwa anayefaidika na mkopo HESLB kurudia mwaka wa masomo?

    Oi mzee ulipata jibu la hili swala? Kama ulipata inakuaje affect yake unaendlea kupata au la?
  14. Benjz68

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu PC games

    I mean laki 4(400)- laki 6(600) apo juu
  15. Benjz68

    Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu PC games

    Chief kaka hizi pc zenye cpu ya intel hd 4600 used za 400-600 naweza zipata wap maaana nimehangaika kuztafuta sehem nyingi nimezkosa kaka,naomba msaada wako wa kwa kuzipata
Back
Top Bottom