Vijana ni taifa la kesho so inabidi tufikilie kwa kina kujua nchi yetu inaendaje ndio maana nimeweka mjadala ili tuujadili tukiwa ni vijana wenye weledi katika kuhakikisha taifa letu linapiga hatua.
kwa vijana wa zama hizi wengi wao wakiwa na marafiki wenye kipato cha juu hupenda kuwaomba wawape fedha badala kupambana na hali zao ili wawe nao na kipato cha juu na kuweza kuendesha maisha yao,ninapenda kuwshauli waache tabia hiyo bali wafanye kazi kwa bidii.
Kama sifa zote
Kwa upande wangu naona anastahili kuwa makamo wa raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania kama atapewa nafasi hiyo kwani tumeona jitihada zake katika nafasi aliyonayo ya mkuu wa mkoa wa dar es salaam kwa kusimamia shunguli zote muhimu ambazo zinapaswa kushungulikiwa.
Ninajiuliza tu huko kwa mabeberu walivyo na demokrasia ya hali ya juu.
Hivi tukiamua kumshitaki kwa amani tu na upendo Rais wetu inawezekana ili na wao serikali yetu wakae mguu sawa katika uwajibikaji kwa wananchi inawezekana?
Na kama inawezekana miaka minne sasa Serikali yetu imefanya vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.