Recent content by Benjamin9911

  1. B

    SoC04 Tubadilishe fikra zetu, na tuzalishe wataalamu wenye kuweza kupambana kimataifa kupitia bunifu zao za Kiteknolojia kwa ajili ya kukuza Uchumi wetu

    ''Fikira au Fikra (kutoka neno la Kiarabu) ni ujumbe uliotumwa kutoka akilini kwa ajili ya viumbe hai ili kujua kutenda jambo bila kukosea. Fikra husaidia na maamuzi: wanyama(mfano mifugo n.k) mara nyingi huishi bila ya kufikiri, yaani kujua nini kesho atafanya, lakini wanadamu hutumia fikra na...
  2. B

    SoC04 Kuwekeza kwenye Teknolojia kwa kutumia vyuo vyetu kuyasogelea kwa Karibu Mapinduzi ya Nne ya Viwanda

    Pamoja sana Kaka. 2G ni 64Kbps, 3G HSPA+ ni 8Mbps, 4G LTE ni 50Mbps na 5G ni 10Gbps. Hiyo 6G bado wako kwenye stage ya Prototype na ndio kasi yake wametest 100Gbps. Asante. JIFUNZE ZAIDI HAPA...
  3. B

    SoC04 Kuwekeza kwenye Teknolojia kwa kutumia vyuo vyetu kuyasogelea kwa Karibu Mapinduzi ya Nne ya Viwanda

    Nashukuru sana, ndio maana nimeshauri Wizara husika na wadau wa elimu tuanze kufanya maboresho kuanzia chini ili kutengeneza watu wenye uelewa mpana wa kuyapatia majawabu ya changamoto tulizonazo kama taifa.
  4. B

    SoC04 Kuwekeza kwenye Teknolojia kwa kutumia vyuo vyetu kuyasogelea kwa Karibu Mapinduzi ya Nne ya Viwanda

    Tanzania kama tunavyojiita kuwa ni moja ya Nchi zinazoendelea, hatuwezi kukwepa kujiingiza moja kwa moja kwenye MAPINDUZI YA NNE ya viwanda. Mapinduzi ya Nne ya Viwanda, ni mapinduzi makubwa ya kiteknolojia ambayo yanaendelea hivi sasa, na yana athari kubwa kwa biashara na jamii kote...
  5. B

    Advance Physics ilivyokuwa inatugeuka ndani ya chumba cha mtihani

    Rotational dynamics sijawah kuelewa na ctailewa ni hatariii
Back
Top Bottom