me pia kuku wangu kashindwa kusimama na wengine wanasumbuliwa na mafua yasiyo pona mkuu na jicho moja hasa ya kulia hujifumba nisaidie kwa ushauri nini cha kufanya
Kila mtu ana uhuru wa kuchagua kati ya mema na mabaya. Mungu anapendelea mtu achague mema; lakini hamshukurutishi kwani anachagua kwa ufahamu na kwa uhuru kamili. Hivyo kila mtu yuko huru kuchagua kati ya uzima au mauti na hakuna anayelazimishwa. Lakini mwisho wa yote kutakuwa na hukumu ya haki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.