Kwa mimi nilio soma privet huku hali ya maisha yetu ni duni,,nilikutana watoto wa wabunge uko watoto wamatajili yan,sasa namkumbuka sana jamaa mmoja alukuwa anajiita WAZIRI alikuwa don bweni zima poket money yake kwa mwezi c chini ya laki mbli,sasa bwana hadi walimu walikuwa wanamshobokea xna...
Wana Jf naomba kuuliza jamani hv kwa wale walio maliza,kidato cha nne na kuchaguliwa moja kwa moja kwenda chuo kuna uwezekano wa kupata mkopo
ASANTEN PIA NATEGEMEA MAJIBU MAZURI [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Anae kijua chuo cha TANZANIA PUBLIC SERVICE CAMPUS YA TANGA Naomba anisaidie kujua mazingira yake ya shule na mazingira ya hostel plz msaana nko serious sana.
Samahani Wakuu nmechaguliwa kujiunga na chuo hicho cha tpst tanga,kwa yeyote anae jua mazingira,ya chuo,anisaidie na je ni vyema nkae hostel au nkapange geto tu MASAADA JAMANI [emoji120] [emoji120]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.