Recent content by Bengal Sanke

  1. B

    Unazitukana hospitali za Magufuli halafu ukiumwa unakimbilia hapo hapo?

    Hoja ya msingi ni kuwa Huyu mgonjwa wa kujitakia alikuwa ana maneno machafu sana yasiyo na staha na ya dharau nyingi naweza ita ya kijinga na mojawapo ni la kudharau jitihada zinazofanyika za uboreshaji wa uhuduma bora za afya nchini, kiukweli alikuwa ana kejeli saaana. Hili ndilo la msingi...
  2. B

    Tundu Lissu: They call you 'Imperialists' yet you donate 50% to our budget.

    Duh hili ndio tatizo la udogo wa mawazo, huyu jamaa hajawahi kuishi ulaya na Amerika...Bahati mbaya sana ameenda akiwa mgonjwa. Angekaa kwanza kujifunza jinsi wazungu wanavyowaona waafrika kiujumla..... Mweusi hata ujitanue vipi kiakili kwao, wao wanaamini kuwa "Waafrika ni binadamu walio na...
  3. B

    Ziara ya Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA Tundu Lissu, Ulaya na Marekani

    Hakuna madhara yoyote, mataifa ya dunia ya kwanza yanaelewa vizuri kinachoendela Tanzania kuliko pengine hata watu wengine waliopo ndani ya nchi hii, pia wana fahamu nini maana ya dhamana ya nchi na dhamana ya mtu binafsi. Lisu kama Lisu ni mtu tu binafsi ana malalamiko yake kama wengine...
  4. B

    Kilichomponza Tundu Lissu ni maneno haya aliyoandika JamiiForums...

    Kwa kifupi Lisu ni mjuaji, mbishi, haambiliki, hashauriki na kibaya zaidi hana BUSARA kabisa. Si Mzalendo hata kidogo.... Hafai kabisa kuwa kiongozi.
  5. B

    Zitto alifikisha sakata la Spika Ndugai, CAG ngazi za kimataifa

    Ni vyema wakati mwingine kuangalia kazi zingine za kufanya kama siasa imekupita na wakati, ni wakati muafaka kwa Zito kuachana na siasa. Umaarufu wake kisiasa ulikuwa zamani wakati wengi hawakuwa wakimwelewa kuwa ni tapeli wa kisiasa (Kigeugeu) Muda unavyozidi kwenda ndio anazidi kuporomoka...
  6. B

    Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

    Umri unavyozidi kwenda mbele na akili nazo hupungua.... Ni vyema wakajiepusha na matamko kama hayo kama walivyo wanazuoni wengine waliostaafu.
  7. B

    Zitto: Serikali inasema uongo, ni muhimu Bunge lichunguze ziliko shilingi trilioni 1.5

    Zito ameshapoteza CV kisiasa hana lolote, anatafuta kurudisha hadhi yake ya kisiasa aliyokwisha poteza siku nyimgi.... Amebaki kuwa muhamasishaji wa kwenye mitandao kwa kushare taarifa FAKE.
  8. B

    Mange Kimambi amuandikia ujumbe mzito kaka yake aliyekutana na kupiga picha na Paul Makonda

    Kwa wenye akili timamu, Kichaa Mange ametoa mchango mkubwa saaana kukidhoofisha chama cha upinzani chadema. Ni makosa makubwa sana kuyakubali matamshi yake, kuyanukuu na kuyaweka kama mojawapo ya mihimili ya chama chenye watu wenye akili timamu na kufikiri kisawasawa. Ni Tanzania pekee mgonjwa...
  9. B

    Askofu Evaristo Chengula: Uchaguzi ujao tusifanye makosa tena

    Akili nyepesi, hata hawamuelewi Baba Askofu. Ujumbe kwa wana mbeya Sugu hafai kuwa kiongozi wao ni muhuni.
  10. B

    ‪KISUTU, DAR: Mahakama yawapa dhamana Viongozi 6 wa CHADEMA bila kuwepo mahakamani. Kutoka gerezani Aprili 3, 2018...

    Angalia wanaoondoka CHADEMA wanatoa picha gani? wanaobaki ndo hao ninaosema..... Data zako ni mgando, watu wanatoka na wanaendelea kutoka, wao wanaona ujinga uliopo huko. Umeweka data mgando, dunia ina move mbele, inaenda mbele hao wa 2015 si wote wamebaki huko, wengi wameondoka ...tumia akili...
  11. B

    ‪KISUTU, DAR: Mahakama yawapa dhamana Viongozi 6 wa CHADEMA bila kuwepo mahakamani. Kutoka gerezani Aprili 3, 2018...

    I'm taking the whole scenario in a broad perspectives with historical backgrounds, kama unaangalia medani za siasa kwa level yako na hivyo vi-elements vichache vya watumishi wa zamani wa CCM walioko upinzani kwaajili ya watanzania millioni 54 Basi hatutaweza kufikia muafaka.
  12. B

    ‪KISUTU, DAR: Mahakama yawapa dhamana Viongozi 6 wa CHADEMA bila kuwepo mahakamani. Kutoka gerezani Aprili 3, 2018...

    Hakuna kitu kama hicho, harakati zenu za kijinga zimeua wengi sana na mmewaacha bila msaada baada ya hapo. huwezi kujenga chama kwa vurugu, na msitumie jina watanzania wanataka hiki ama kile. Hakuna mtanzania wa kweli anayependa vurugu za kijinga
  13. B

    ‪KISUTU, DAR: Mahakama yawapa dhamana Viongozi 6 wa CHADEMA bila kuwepo mahakamani. Kutoka gerezani Aprili 3, 2018...

    Bahati mbaya sana Zito unayemtaja ni mwanasiasa mviziaji alishapoteza staha na ni mnafiki sana. Statistics za viongozi na wanachama wanao kihama CDM ni kitu wazi kinaonyesha kuna matatizo makubwa. Wewe huna ubavu wa kupima IQ yangu asilani
  14. B

    ‪KISUTU, DAR: Mahakama yawapa dhamana Viongozi 6 wa CHADEMA bila kuwepo mahakamani. Kutoka gerezani Aprili 3, 2018...

    Wapinzani wanahitaji semina elekezi, hawaelewi upinzani ni nini? Kwa kuwasaidia ni ; Kuwa na maoni mbadala yenye akili, mawazo mbadala yenye akili, matendo mbadala yenye akili, matamshi mbadala yenye akili, mavazi mbadala yenye akili sio makombati hatuko vitani hapa, mnapaswa kuwa na staha...
  15. B

    Kibaha, Pwani: Mtumishi wa TANESCO asakwa kwa kumwambia mteja aandamane Aprili 26

    Sio kwa kutumia public service kama condition ya kupewa umeme... Ni kosa tena kubwa na ni la kijinga kwa mtumishi wa umma.
Back
Top Bottom