Recent content by ben Lazaro

  1. B

    Hesabu: Aggrey Mwanri ni waziri anaesubiri kuapishwa

    Tatizo Rais huyu hatabiriki yan tabir zang zote mpaka sasa hoolaaah... kabisa ngoja nipumzike kutabiri na kubashiri
  2. B

    VIDEO: UKAWA Wazuiliwa Kushiriki Cocktail Party; Ni Baada ya Kutimuliwa Bungeni

    Ivi ndugu unajitambua kweli? Wabunge hawamtambui dr. Shein na Magufuli ndo mana walitoka Bungeni na ni sawa kabisa sasa kwann waende ktk party ya wahusika walewale ambao hamwatambui? Ni vizur wangesusia kotekote ili waeleweke juu ya msimamo wao japo nimewaona wachache kama Dada Sakaya. Ebu...
  3. B

    Hotuba ya Rais Magufuli akifungua rasmi bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Novemba 20, 2015

    Na Muumba akupe sawasawa na ulichoomba maana tunaamini kya ulimi huumba
  4. B

    Mgogoro wafukuta NCCR - Mageuzi

    Ebu jitathmini mwenyewe ulichoandika yaonesha hujui siasa ila unajua kuongea. Ni darasa la ngap?
  5. B

    Magufuli apiga STOP Safari za nje ya Nchi; Elimu Bure kuanza Januari 2016...

    Mr. mpk upo vizur ktk post yako lakin sisi wabongo hasa wewe tunatatizo la kua bias kiasi kwamba huwez sifia upande flan ikiwa kafanya vzr eti kisa ni shabiki wa upande flan mfano sijaona hata siku moja ukikosoa ukawa eti jwakua ww ni wa upande huo. Ebu tubadilike ebo
  6. B

    Watanzania tunamsifia Magufuli kwa kuvamia maofisini?

    Kabisa ndugu na sipendi raia wanaofikiri kiupendeleo muda wote
  7. B

    Watanzania tunamsifia Magufuli kwa kuvamia maofisini?

    Mtoa mada una akili za kitoto sana za kupenda kununa na kulaumu sana ebu fikir ww ungekua rais ungeweza boresha kila kitu kwa wiki 1? Kaanza vizur ivo tumpe moyo kwa kumpongeza ila baada ya miaka 2-3 kama hatoendelea na kasi hii ndo alaumiwe. Tunachukizwa na raia kama ninyi baada ya kumpa moyo...
  8. B

    Baada ya Wizara ya Fedha na Muhimbili, Wafuatao ni...

    Apimwe mara ngap ndg hio ndo style yake toka akiwa waziri walisema atachoka tu lakin wap! Tanzania tulipofikia tunahitaj Rais jama huyu mana taasisi zetu za umma ni full madudu so ngoja tunyoke kidogo
  9. B

    Ndoto za Juliana Shonza zayeyuka!

    Kwani mbatia aliingia kwa kigezo cha kua profesional? Sidhan
  10. B

    Ngome ya CCM ni ipi hasa?

    Hahaaaaaaaa! Ur so genius
  11. B

    VIDEO: Rais Kikwete azindua Uwanja wa Ndege za kivita Morogoro; Mkuu wa Majeshi ahudhuria

    Ben saanane nae aje atoe shukrani baada ya tamko/uzushi wake kujibiwa vizur
  12. B

    Hivi Ni Tanzania ya Magufuli au Tanzania ya Watanzania?

    Ivi ni darasa la ngapi mpendwa?
  13. B

    Matokeo ya uchaguzi: Mgawanyo wa kura mikoani

    Ukome,ushindwi na ulegee kwa jina la Mungu kwa dharau na kejeri zako
  14. B

    Sijawahi mwelewa Sumaye tangu akiwa CCM mpaka leo hii mkutanoni Mbeya

    Kwahiyo Mwalimu NYERERE nae alikua mpayukaji? Nyie watu nadhani busara na hekima ni chanzo cha maarifa.
Back
Top Bottom