Akiwa ameacha posho za vikao vya Kamati zinazoendelea, Kama ambavyo imezoeleka kwa Lema kutohudhuria Kamati yake ya bunge, David silinde anaendelea na mikutano yake katika kata mbalimbali za jimbo la Mbozi magharibi. Akiwa ametembelea vijijini vya ivuna, iwatwe, sambang'ombe, mkomba, sante...